Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) MRADI WA MAENDELEO WA METROPOLITAN DAR ES SALAAM NOVEMBA 2018 Muhtasari DAR ES SALAAM |BARABARA YA MABASI YAENDAYO KWA HARAKA AWAMU 1 Umefadhiliwa na: Timu ya Mradi 2 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Muonekano wa picha kwa juu wa ukanda wa barabara ya mabasi yaendayo haraka Awamu 1 © Broadway Malyan Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 3 MADHUMUNI YA WARAKA HUU Muhtasari Huu Maalum Unachangia Waraka wa Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa barabara ya mabasi yaendayo kwa haraka. Muhtasari huu unakusudia kueleza kwa ufupi malengo muhimu ya Mkakati wa uendelezaji wa ukanda wa barabara wa mabasi yaendayo haraka na kuonesha hatua mbalimbali za kwanza: “Mambo ya Kuchukua”, kutokana na Mkakati. Waraka Mkuu wa Mkakati wa uendelezaji wa ukanda wa barabara wa mabasi yaendayo kwa haraka, unafafanua Mkakati wa Maendeleo yanayotokana na Miundombinu ya Usafiri kwa ajili ya njia ya mabasi yaendayo haraka Awamu 1. Waraka huu utatumiwa na Idara za Mipango, Taasisi za Umma na waendelezaji kutoa mwongozo wa uendelezaji na upanuzi wa njia hizi hapo baadae. Waraka huu unasisitiza vipaumbele na maeneo yaliyolengwa kwa ajili ya uboreshaji wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu kama mfululizo wa awamu zinazofuatana. Kama unataka kujua zaidi... Orodha ya Nyaraka Waraka huu unapaswa kusomwa sambamba na nyaraka zifuatazo: Mkakati wa Maendeleo wa uendelezaji wa ukanda wa mabasi ya yaendayo kwa haraka awamu ya 1 Mpango wa Pamoja wa Matumizi ya Ardhi na Usafirishaji kwa ukanda wa barabara wa mabasi yaendayo haraka Awamu 1 wenye juzuu mbili (2) kuu za kazi na seti ya viambatisho 3. Juzuu 1 - Sehemu A: Mabasi yaendayo haraka Awamu 1- Dira & Mkakati Juzuu 1- Sehemu B: Miongozo ya Maendeleo yatokanayo na Miundombinu ya Usafiri kwa ajili ya ukanda wa mabasi yaendayo haraka Nyaraka tatu za Viambatisho ni nyongeza za juzuu kuu ili kutoa taarifa kwa kina zaidi za usuli wa utafiti unaosisitiza Mkakati wa Uendelezaji wa Barabara hizi. Viambatisho hivi vinahusu yafuatayo: Kiambatisho A - Mbinu Kiambatisho B - Michoro na Ramani Kiambatisho C - Ripoti ya Utekelezaji 4 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari DIBAJI KUTOKA KWA MAAFISA WAANGALIZI WA MRADI OR-TAMISEMI OR-TAMISEMI Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Emmanuel Charles A. Mariki K. Ndyamukama Afisa Mipango Miji Mratibu Msaidizi Mwandamizi, Meneja wa Mradi, Mradi wa Msaidizi wa Mradi, Maendeleo wa Jiji la Mradi wa Maendeleo ya Dar es Salaam Jiji la Dar es Salaam Waraka huu unahusu maendeleo ya Mabasi ya Tangu kuzinduliwa kwake, Mradi wa Mabasi yaendayo Mwendo Kasi katika Marabara ya Mabasi ya Mwendo kwa haraka Awamu 1, imekuwa ni mafanikio ambayo Kasi ya Awamu 1, kwa kutumia utaratibu wa yanakubalika, ambayo yameonyesha mfano wa kutumia Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini katika utaratibu kama huu katika barabara nyingine muhimu kuiendeleza upya Dar es Salaam. Dhana ya Maendeleo na njia za pembezoni katika maeneo ya katikati ya Yanayofungamana na Usafiri Mijini imechukuliwa jiji. Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi ya Awamu 1 kuwa kama kielelezo kizuri cha matumizi ya ardhi imebadilisha hali ya usaifiri katika jiji la Dar es Salaam. iliyounganishwa yakiwa na usafiri mzuri katika kuwa na Mtadano wa Mabasi ya Mwendo Kasi unaleta fursa mpya ukuaji mzuri wa miji na ukuzaji wa uchumi. katika jiji, ikiwemo ongezeko la thamani mpya ya ardhi Serikali ya Tanzania imewekeza fedha nyingi katika na kodi za nyumba. Serikali ya Tanzania imeteua timu ya kupanga na kujenga ukanda wa barabara wa mabasi wataalamu washauri mchanganyiko kuandaa Mpango yaenendayo kwa kwa haraka Awamu 1, lakini bado wa Matumizi Fungamani ya Ardhi kwa ajili ya barabara za haijahusisha kanuni za Maendeleo Yanayofungamana mwendokasi ili kupanua matumizi ya ardhi iliyo karibu ndani na Usafiri Mijini katika mpango na mikakati yake ya ya kilometa za mtandao, ukipendekeza mikakati mipya uendelezaji na mipango kazi yake kwa ajili ya upangaji ya maendeleo ya ardhi ili kuyaboresha na kuyaendeleza wa maeneo ya barabara za mabasi ya mwendno kasi, maeneo. amabyo yanachukua zaidi ya hekta 5,000. Ili kuongeza Mpango mpya unatafuta kuondoa muundo wa jiji la Dar urudishaji wa gharama, kuchangia katika kukua kwa es Salaam wa mjini-kati, ambao unaweka umuhimu wake uchumi na ukuaji bora katika eneo la barabara ya katika Eneo Muhimu Kibiashara kuwa mjini kati tu. Maeneo mwendo kasi, mbinu ya Maendeleo Yanayofungamana mapya ya kibiashara yanahamasishwa kuanzishwa katika na Usafiri Mijini imeanzishwa na kuingizwa katika maeneo muhimu ya pembezoni yaliyopangwa kuingizwa muktadha huu mahususi ili kuongeza faida za katika taratibu za Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri uboreshaji kutoka katika miundombinu bora ya usafiri Mijini ili kuanzisha maeneo mapya yenye fursa nzuri katika inayoendelezwa hapa. kutengeneza ajira, ufikikaji, uunganishaji wa maeneo hayo na Waraka huu umeandaliwa katika wakati muafaka ili kuwa mengine, kuwa na nafasi za wazi na kuboresha viwango vya mwongozo wa kujaribu miradi muhimu ya uwekezaji maisha ya wakazi wa mjini katika mazingira tulivu na yenye kwenye ukanda wa barabara ya mabasi yaendayo upatikanaji wa huduma za kijamii kwa urahisi. haraka Awamu 1, ambao unaweza pia kutumika katika miradi mingine yote au yoyote itakayofuatia ya ujenzi wa barabara mpya za usafiri wa Umma jijini.. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 5 Mpango huu unabeba dira ya maendeleo ya jiji la Dar es Salaam ambayo yamelenga kuandaa mpango endelevu sambamba na sera zitakazowezesha kufikiwa kwa malengo ya Jiji la Dar es Salam kuwa moja ya majiji bora katika kanda katika utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi na kuwawezesha wananchi wake katika kuendeleza shughuli zao za kiuchumi na kijamii kwa njia ya ushirikishwaji, demokrasia na utawala bora. Bi. Sipora Jonathan Liana , Mkurugenzi wa Jiji, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Halmashauri ya Jiji Benki ya Dunia la Dar es Salaam Chyi-Yun Huang Mhe. Isaya Mwita Mtaalamu Charles Mwandamizi wa Mstahiki Meya Uendelezaji wa Miji Jiji la Dar es Salaam limechukua nafasi ya kuwa jiji Wakati Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka unatoa la mfano katika kuandaa Mpango wa uendelezaji wa fursa muhimu kwa sekta za Umma na binafsi kuwekeza ukanda wa mabasi yaendayo kwa haraka na Mpango katika maendeleo ya mji na kuboresha matumizi ya Kabambe wa jiji. Mpango wa Uendelezaji wa Ukanda ardhi katika maeneo ya pembezoni mwa barabara, wa mabasi yaendayo kwa haraka unawakilisha mabadiliko haya yanahitaji kusimamiwa kwa umakini, mataramio ya jamii kama nguzo ya maendeo ili yafae kimazingira na kiutamaduni. Sanjari na endelevu. Mpango huu utakapotekelezwa, Jiji la Dar hilo, kunahitajika kuwepo kwa uwiano sawia katika es Salaam litakuwa kati ya majiji bora barani Afrika, kuhakikisha kwamba jamii ya watu wa kipato cha chini litakalovutia wawekezaji na kutengeneza nafasi za na Umma wote unanufaika na matokeo ya kiuchumi ajira na kuwa viwango vya juu vya hali ya maisha. Kwa na kijamii yanayopatikana katika kwa wakati. niaba ya Jiji la Dar es Salaam, natoa shukrani zangu Matumaini yetu ni kwamba Mkakati wa Uendelezaji kwa Benki ya Dunia ambao wamefadhili mpango huu, wa Miundombinu utaweka mpango wa pamoja wa natoa shukrani kwa wajumbe wa kamati, wananchi, matumizi bora ya ardhi na mkakati wa utekelezaji wataalamu wa ndani nan je ya nchi, viongozi wa kwa kuzingatia taratibu bora za kimataifa kwa kitaaluma, watumishi wa Jiji, na wabunifu wengine kutoa mwongozo wa uendelezaji kwa kina na ujenzi waliotoa mawazo yao waliotumia muda wao. Kupitia sahihi wa miundombinu kwenye ukanda wa mabasi ushiriki wenu Jiji la Dar es Salaam linakuwa na hadhi yaendayo haraka. Pia utatoa miongozo ya maendeleo ya kutambuliwa kama Jiji la kisasa lenye jamii ya watu yanayotokana na miundombinu ya usafiri na ujenzi wa wanaoendelea. njia za waenda kwa miguu sambamba katika ukanda wa usafiri wa mabasi yaendayo haraka hapo baadae. Safari ya kuandaa Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu ya mabasi yaendayo haraka imeyaleta pamoja makundi mbalimbali na anuwai ya wadau katika kushughulikia ajenda ya pamoja. 6 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari KWANINI TUNAHITAJI MKAKATI WA MAENDELEO YA BARABARA? Kushughulikia Ukuaji wa Mji & Mkakati wa Maendeleo ya ukanda wa barabara wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam ni jiji linalokua kwa kasi sana, ya maeneo ya pembezoni mwa barabara ya kichocheo kikubwa cha ukuaji wake, bandari ya Dar Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 kwa kutumia es Salaam, inazidi kuongezeka umaarufu wake na kanuni za Maendeleo Miundombinu ya Usafiri. ina uwezekano wa kuwa bandari muhimu kibiashara Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi ikihudumia Tanzania na nchi nyingine sita ziziso na Yaendayo Haraka unawasilisha njia mpya katika bahari (Malawi, Burundi, Zambia, Uganda, Rwanda kushughulikia ukuaji wa kasi wa jiji la Dar es na Mashariki mwa Kongo). Hali hii inatoa vyote Salaam. viwili, fursa na changamoto kwani jiji linatajariwa Mradi wa Mkakati wa uendelezaji wa ukanda kuongezeka wingi wa idadi ya watu kutoka watu wa barabara wa mabasi yaendayo haraka takribani milioni 5 hadi kufikia watu takribani unalenga ardhi iliyo pande zote za barabara ya milioni 13 katika kipindi cha miaka 15 ijayo. Hali mabasi yaendayo haraka. Ardhi hii imepimwa na hii si endelevu na mipango ya ukuaji bora wa mji kutathiminiwa uwezo wake kumudu uendelezaji inahitajika haraka iwezekanavyo. zaidi au ubadilishaji wa majengo kwa ajili matumizi Mpango kabambe wa usafiri unajumuisha njia sita mapya au au ya ziada na idadi katika maeneo hayo. za Mabasi yaendayo haraka. Baada ya uwekezaji Hii inagusa maeneo yaliyo ndani ya nusu kipenyo mkubwa wa fedha za mikopo ya Benki ya Dunia cha km 1 kutoka kila kituo cha Mabasi Yaendayo iliyotolewa kwa Serikali ya Tanzania, Awamu 1 Haraka. ya Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam Mkakati wa Maendeleo ya ukanda wa barabara ya ilizinduliwa na DART Mei 2016. mabasi yaendayo haraka unakusudia kuzisaidia Awamu ya 1 ya ukanda wa mabasi yaendayo mamlaka (waendelezaji na jamii) kuelekeza mipango haraka ni barabara ya kwanza ya usafiri wa Umma, na programu zao katika kuunga mkono uwekezaji “mkombozi” wa wakazi wengi wa jiji katika kupata katika Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka huduma za burudani na kijamii, ajira zaidi, mazingira Awamu 1. Utaratibu huu unalenga kuweka mkakati tulivu na kuboresha maisha ya wakazi wa Dar es wa ukuaji mkubwa wa muda wa kati hadi mrefu. Salaam. Wakati ambapo mradi unaendelea kukua, masoko yanapokua na kuwepo kwa mabadiliko ya kijamii, Benki ya Dunia, Mfuko wa Maendeleo wa Nordic na kiuchumi na kimazingira, mwelekeo wa jumla na OR-TAMISEMI walitoa kazo ya maandalizi ya Mkakati kichocheo cha dira vinapaswa kuendelea kuwepo ili wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri ili kusaidia kuhakikisha kuwa kazi inayoendelea inazingatia na kuwa na mkabala wa pamoja katika maendeleo kujikita katika Maendeleo Miundombinu ya Usafiri Mjini. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 7 I Saa 4! 2017 2032 !*£&$! Beep! saa 3! Beep! !*£&$! Beep! watu watu milioni milioni 5.7 13 Leo: Jiji likiwa Halikui Kesho: Ukuaji wa mji unakuja! Jiji la Dar es Salaam lina shida ya msongamano, Dar es Salaam, pamoja na Tanzania na ukanda limepata ufumbuzi kwa sehemu, kwa kutekeleza mzima, unatarajiwa kuwa na mabadiliko makubwa. awamu 1 ya Ongezeko la idadi ya watu litaleta changamoto katika mwonekano wa jiji na jinsi linavyoyaendesha mambo MABASI YANDAYO yake. Wingi watu, mahitaji ya makazi na ajira ndiyo HARAKA mwezi Mei 2016 vilivyo mstari wa mbele katika ajenda... ... Wastani wa muda wa kusafiri umepungua sana.... ... Mkakati wa Barabara za kiasi cha kuleta maisha ya furaha na uzalishaji bora.... magari yaendayo haraka unalenga kujiandaa kwa hilo! i zaj SE ANZ DUNI YA ke T RIK AN A I BENK we AL IA A A O WO W IY au K A U L E MF NDE DIC ay E OR MA N d Fai Dar es Salaam BRT BRT Kwenda Zaidi ya hatua ya kwanza Faida ya Uwezekezaji Utekelezaji wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Jiji na wakazi wake wamejizatiti kutoa fedha nyingi ulikuwa ni hatua ya kwanza na wazo la taasisi katika kutoa huduma za Mabasi Yaendayo Haraka. nyingi. Hatua nyingine inayofuata yenye mantiki Malengo yao ni kuhakikisha kuwa faida ya uwekezaji ni kuyaingiza matumizi ya ardhi pembezoni mwa huo inapatikana kwa manufaa ya jamii kwa ujumla. barabara hii ili kuendana na mabadiliko na fursa hiyo. 8 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari NANI ANAPASWA KUZITUMIA NYARAKA ZA MKAKATI WA Mambo MAENDELEO YA 11 11 ya kufanya BARABARA ZA MABASI ili kupata matokeo mazuri ya Mkakati wa YAENDAYO HARAKA? Maendeleo ya Barabara za Je, wewe ni mtumiaji wa Mkakati wa Maendeleo ya Mabasi Yaendayo Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka? Haraka Kama wewe ni Afisa Mipango, Afisa mwingine (OR-TAMISEMI, MHSLD, Halmashauri ya Jiji 01 la Dar es Salaam na Manispaa zake) au Mtendaji wa Mipango Miji na unahusika katika kuandaa sera, kuyapitia maombi ya mipango miji au kufanya maamuzi mengine yoyote Zingatia & tumia kuhusu uendelezaji pembezoni mwa Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka ya Awamu 1, mikakati hii basi ni lazima uzingatie na kurejelea mara kwa mara Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka. 02 Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka umeandaliwa kusaidia: Hakikisha kuwa Mkakati wa Maendeleo ya ukanda wa barabara Mamlaka za Mipango Miji Waendelezaji & Wawekezaji za mabasi yaendayo (Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam & Waelekeze na kulenga mahitaji ya haraka unatumika Manispaa) & Maafisa Mipango Miji wake uendelezaji wao katika maeneo yenye na kueleweka kwa kuongoza uendelezaji pembezoni mwa fursa nzuri na yanayosaidia utekelezaji wajumbe wote wa timu Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka mpana wa Mkakati wa Maendeleo ya yako. Awamu 1. Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi. Ikiwa wewe ni Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka una mwendelezaji au mwekezaji utatakiwa mikakati yote ya mkubwa cha upangaji kuwa na uelewa mkubwa Mkakati wa 03 wa uendelezaji wa aina mbalimbali, matumizi bora ya ardhi, jamii, makazi, na Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi na kuyarekebisha mapendekezo yote na Ikiwa yatahitajika, kadhalika. Masuala ambayo yanahitajika panga kuwa na mafunzo mawazo ya uendelezaji ili yaendane na kujumuisha na kuratibu uendelezaji. zaidi (zungumza na mikakati yote. Hii itasaidia kuhakikisha Mikakati hii inapaswa kutumika kila Mratibu wa Mkakati wa uendelezaji unafanywa na miundombinu, siku katika kutoa taarifa za mipango na Maendeleo ya Barabara usafiri stahiki, na kadhalika katika kufanya maamuzi ya mipango. za Mwendo kasi wa OR- maeneo sahihi na kwa wakati sahihi. TAMISEMI) Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 9 04 Hudhuria mikutano, semina na warsha za uratibu wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka (zungumza na Mratibu wa Mkakati Kampuni ya Usafiri wa Jamii & pande nyingine wa Maendeleo ya Mabasi Yaendayo Haraka, zenye maslahi Barabara za Mwendo Wizara mbalimbali na Idara kuelewa changamoto za kupanga mipango kasi wa OR-TAMISEMI) za Serikali na fursa zilizomo na zinazohusiana kulinganisha mipango na bajeti zao ziwe za na Barabara ya Mabasi Yaendayo miundombinu, barabara, elimu, nyumba Haraka Awamu 1. Mradi huu unawapa 05 za makazi, huduma za umma, huduma wananchi uelewa wa namna jamii zao Kuwa na nakala za kijamii kuunga mkono malengo ya zinavyoweza kunufaika na kubadilika, ngumu nyingi za Mkakati huu. Iwapo wewe ni afisa mtendaji na aina za miundombinu na huduma waraka wa Mkakati mwandamizi au afisa unayehusika na ambazo wanapaswa kutaraji ziwwepo katika ofisi yako kupanga na kutekeleza miradi ndani katika barabara hizi kwa wakati ujao. ya eneo la Mkakati wa Maendeleo ya Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Miundombinu ya Usafiri, basi tutahitaji Mabasi Yaendayo Haraka unatoa mfumo kutambua mikakati yake na kuhakikisha ambao wanaweza kuufanyia kazi pamoja 06 mapendekezo yako yanaingia ndani ya na Manispaa (& Waendelezaji), kwa Kuwa na nakala madhumuni yake. mfano, kuunganisha viwanja ili kujenga tepe (kidijitali) nyumba nzuri na kushughulikia hatari za inayopatikana kwa kimazingira na kiafya. urahisi na uitumie kutafuta mada unazozihitaji. 10 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari WARAKA WA MKAKATI WA Haya ni mambo MAENDELEO YA mengine matano ya kufanya BARABARA ZA MABASI 07 YAENDAYO HARAKA Uwe na seti ya michoro ya Mkakati UTUMIKE VIPI? wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Kumbuka ... Mjini iliyo tayari kwa ajili Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka unatoa mfumo wa maende- ya kutumia leo ya kiwango cha juu kwa Awamu nzima ya Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1. Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka hautoi taarifa za eneo la ardhi au mipango ya kiwanja. Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo 08 Haraka unatoa mikakati ya jumla, mipana na ya pamoja inayohitajika katika kuweka uende- lezaji pembezoni mwa barabara hizi. Tumia Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Mjini kujua mahali Haraka umeandaliwa kwa ajili ya matumizi katika: ambapo panahitajika Mipango zaidi ya Uendelezaji wa Eneo Mipango ya Mbeleni Ikiwa unahusika katika kutunga au • Kutathimini mipango ya sasa ya kutekeleza sera ya mipango miji, Mkakati maendeleo na kuona kama inahitaji wa Maendeleo ya Miundombinu ya kuboreshwa kuwa ya kisasa ili 09 Usafiri Mjini unapaswa kutumika kama kuifanya iendane na Mkakati wa Tumia Mkakati waraka wa mipango unaoenda na Maendeleo ya Miundombinu ya wa Maendeleo ya wakati. Mipango yote iliyopo inapaswa Usafiri Mjini. Miundombinu ya kurekebishwa kwa kutumia Mkakati wa • Kuandaa mipango mipya ya Usafiri Mjini kuangalia Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri maendeleo ambayo inaweza ni mpango gani uliopo Mjini kwa kipindi cha mwaka 1 tangu kusaidia na kutekeleza Mkakati wa unafuata taratibu na ni kuzinduliwa kwa Mkakati wa Maendeleo Maendeleo ya Miundombinu ya wapi mipango iliyopo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini. Usafiri Mjini kwa kiwango kizuri na inahitaji kuboreshwa au Inatarajiwa kwamba programu ya Mipango kwa kina zaidi. kubadilishwa ya sasa na mipya ya Maendeleo ya Eneo • Kurejelea Mkakati wa Maendeleo imeandaliwa kulingana na Mkakati wa ya Miundombinu ya Usafiri Mjini Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri kwa ajili ya uendelezaji wote katika Mjini kwa mzunguko wa miaka 3 hadi 5. eneo la barabara iliyoteuliwa na kwa Ili kufanikisha hilo idara zote za mipango miundombinu yoyote au utuoaji wa miji zitatakiwa kuelewa matumizi ya huduma za kijamii mbinu za kutumia Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mabasi Yaendayo Haraka katika: Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 11 10 Unapoandaa Mpango Mpya wa Uendelezaji wa Eneo hakikisha kwamba kila mpango unazingatia • Kupitia shughuli na mipango ya ya Usafiri Mjini. Katika udhibiti wa miongozo ya Mkakati utekelezaji ya Mkakati ya Maendeleo uendelezaji inatarajiwa kwamba Mkakati wa Maendeleo ya ya Miundombinu ya Usafiri Mjini wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Miundombinu ya ili kuelewa mipango ya baadae ya Mjini utumike: Usafiri Mjini barabara na vituo vyake muhimu. • Kama waraka unaotumika kila siku • Kuoanisha mipango na bajeti nyingine katika kutolea maamuzi 11 ama ya miundombinu, barabara, • Kama zana ya kusaidia na elimu, nyumba, vifaa, huduma za kuhalalisha maamuzi ya kamati ya kijamii ili kusaidia malengo ya Mkakati Tumia Mkakati mipango miji katika mikutano ya wa Maendeleo ya Miundombinu ya wa Maendeleo wiki, mwezi na ile ya robo mwaka. Usafiri Mjini. ya Miundombinu ya Usafiri Mjini na miongozo ya Udhibiti wa Uendelezaji Pendekezo la Uendelezaji Maendeleo ya Ikiwa unahusika katika kutathimini Ikiwa wewe ni mtendaji wa mipango Miundombinu ya mapendekezo ya uendelezaji mkubwa ya miji unayefanya kazi na mwendelezaji Usafiri Mjini ili umma au binafsi na maombi ya mipango au wadau wengine wenye maslahi kusaidia kuamua miji, basi ni lazima uangalie kama na masuala ya ardhi au shughuli za kama pendekezo la yanaendana na Mkakati wa Maendeleo pembezoni mwa Barabara ya Mabasi uendelezaji ni zuri, Miundombinu ya Usafiri Mjini. Yaendayo Haraka Awamu 1, Mkakati wa linahitaji marekebisho Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri au likataliwe. Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu unaweza kutumika ili kupata uelewa ya Usafiri Mjini ni lazima utumike kama kuhusu mwelekeo mzima wa uendelezaji hatua ya kwanza katika kuangalia kama unaotakiwa. Unaweza pia kutumika pendekezo linafaa kupitishwa. Mkakati kubainisha maeneo yenye fursa muhimu wa Maendeleo ya Miundombinu ya na kusaidia kuyarekebisha matakwa Usafiri Mjini unaweza kusaidia katika ya mwendelezaji na kutoa mwongozo kutoa maamuzi juu ya ubora au ubaya ili kwamba uendane na Mkakati wa wa vipengele vya uendelezaji na kusaidia Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri katika kufanya marekebisho. Wakati Mjini. mwingine mapendekezo yanaweza hata kukataliwa ikiwa hayaendani na Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu 12 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari MAMBO YA MSINGI Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini ni nini? Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini huleta watu wengi, kutumia eneo dogo zaidi, uendelezaji wa matumizi mchanganyiko ndani ya umbali mdogo kwa kutumia usafiri wa umma kwa haraka kama vile vituo vya mabasi yaendayo haraka. Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini huleta mwonekano mzuri wa mitaa, mifumo ya njia za watembea kwa miguu, na kujenga tabia za matumizi bora ya ardhi ambayo yanafanya iwe rahisi na salama kutembea, kuendesha baiskeli, na kutumia usafiri wa umma. Majengo makubwa ya makazi na nafasi nyingi za ajira katika maeneo yanayozunguka vituo NDIYO: Matumizi- vya mabasi pia hudhihirisha matumizi mazuri ya miundombinu ya jiji mchanganyiko, mazingira ya na mazingira yake. Ukiunganisha vitu hivi vyote inamaanisha kwamba mjini yenye msongamano Maendeleo Miundombinu ya Usafiri Mjini yanaweza kuwa zana nzuri sana katika kusimamia na kuwezesha ukuaji imara na wa kudumu wa mji. Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini kwa Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 umezingatia kutumia utaratibu wa Maendeleo Miundombinu ya Usafiri Mjinii katika vituo na barabara. Sehemu muhimu ya mbinu ya Mkakati wa Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini ni kutafuta pia namna ya kuongeza thamani kutokana HAPANA: Eneo kubwa na kuwepo kwa Mabasi Yaendayo Haraka kuanzia katika jitihada lisilo na msongamano za matengenezo makubwa, hadi katika uboreshaji wa mitaa & miundombinu mingine mpaka katika kufikia nyumba za gharama nafuu na miundombinu mingine ya huduma za kijamii. Nini ambacho si Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini? Kwa ujumla, matumizi, kama vile mabohari, usafirishaji, maegesho ya nje, uendelezaji wa kushuka-kupanda/wenye msongamano mdogo HAPANA:Maegesho makubwa haviendani na utaratibu wa Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri ya wazi Mijini. Inafahamika, hata hivyo, kwamba sifa na hali mahususi ya baadhi ya miji vitahitaji upekee na marekebisho madogo ya utaratibu wa Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. Kwa mfano, majengo ya viwanda vikubwa, aghalabu huwa mbali na sehemu ya kati ya mji, huweza kuwa karibu na kituo cha Mabasi ya Mwendo Kasi. Uhusiano kati ya maeneo ya ajira na usafiri wa umma unaweza kusababisha mahitaji ya kutumia taratibu nyingine mbali na zile za Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. HAPANA:Matumizi mabaya ya ardhi Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 13 DAR ES SALAAM, IMESHINDA TUZO YA 14 YA MWAKA YA KUWA NA MIUNDOMBINU ENDELEVU YA USAFIRI Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 leo Tangu kuzinduliwa kwa njia hii, UDART imepokea Siku zote Tuzo ya Usafirishaji Bora imekuwa tuzo ya kimataifa ya usafirishaji bora, ikisisitiza kuwa ikihusisha mageuzi. Mradi huu ni wa Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 kuwa kimageuzi kwa Dar, na umekuwa chanzo kama mfano muhimu wa utendaji bora. cha hamasa kwa miji mingine ya Afrika. Leo, uendeshaji wa magari kutoka vituo 32 katika Michael Kodransky, Mwenyekiti wa Kamati ya STA Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 unatofautiana sana. Vituo vya mwisho muhimu vinakuwa * Tuzo ya Usafirishaji Bora inatambua na mabasi mengi yaliyoegeshwa na kuwa msongamano uongozi bora na imara, na dira katika usafirishaji bora na wa kudumu na wa abiria wakati kukiwa na magari yasiyokuwa na kazi maisha ya mjini. Dar es Salaam ni jiji katika maeneo mengine mengi. Katika hali isiyo ya la kwanza la Kiafrika kushinda Tuzo kushangaza, kwa kipindi kifupi ambacho kimepita tangu ya Usafirishaji Bora. kuzinduliwa kwa Awamu 1, maeneo yanayozunguka vituo vya Mabasi Yaendayo Haraka katika barabara hayajabadilika sana (kwa mwonekano wa nje). Sehemu kubwa ya barabara bado imezungukwa na maeneo ambayo hayajapimwa na kutokuwa na huduma jambo ambalo linakwamisha upatikanaji wa usafiri na ambalo linafanya kuwa na tija ndogo kiuchumi. Mradi wa Maendeleo wa Metropolitan Dar utatumia Dola za Kimarekani milioni 330 zaidi mwaka 2022 ili kuboresha nyumba, barabara na miundombinu mingine na kuzuia mafuriko yatokeayo nyakati za mvua katika jiji zima la Dar es Salaam, yakiwemo maeneo mengi yaliyopo katika eneo la Awamu 1. Wastani Uliopo wa Jambo la Msingi Nyumba za watu 5.5 Leo hii Pembezoni mwa Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 ni makazi kwa zaidi ya watu milioni 1 na wanatarajiwa kuongezeka kwa takribani wakazi Wanahitaji 700,000 ifikapo mwaka 2032, yakiwa na ina uwezo wa kuchukua zaidi ya watu milioni 2.2 katika miaka ijayo. Watu milion zaidi ya makazi Hii itamaanisha kwamba mahitaji ya nyumba katika 1,037,000 218,000 maeneo ya pembezoni mwa barabara za magari yaendayo haraka yatahitaji kutoa nyumba nyingi mpya 2017 2032 za makazi kama 218,000. 14 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari MAMBO MUHIMU YA BARABARA YA MABASI YAENDAYO HARAKA AWAMU 1 KUBORESHA UWEZO WA MAENEO YA PEMBEZONI MWA BARABARA 2017 2032 Mabadiliko ya Idadi ya Watu Pembezoni Watu milioni Watu milioni mwa Barabara 1,037,000 1,800,000 *Kwa kuzingatia Hali ya Ongezeko la Kati Fursa ya Ajira Nyumba mpya Maeneo ya inyotolewa na Zinazohitajika Wazi Barabara Ajira 2032 Hekta 650,000 1,560 2017 2032 Ajira * FAjira rasmi Kaya 310,000 218,000 (nyumba mpya & zilizokarabatiwa = 2032 zaidi ya nyumba 400,000) KUBORESHA HUDUMA ZA ENEO LA KARIBU NA BARABARA 1 24 96 4 12 HOSPITALI MPYA VITUO VYA AFYA SHULE ZA MSINGI VILIVYOBORESHWA VIWANJA VYA VIPYA & VILIVYOBORESHWA ZILIZOBORESHWA + MPYA & VYUO MICHEZO SHULE 92 ZA SEKONDARI ZILIZOBORESHWA MPYA NA VYUO Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 15 Hekta 5,550 UWEZO WA ARDHI YA PEMBEZONI MWA BARABARA Vituo 32 UDHIBITI WA THAMANI: vya Mabasi Yaendayo Haraka Udhibiti wa thamani ya ardhi uliopendekezwa unaweza kuokoa ... Dola za NYUMBA 76,000 Kimarekani ZA GHARAMA NAFUU Bilioni 4.4 MABORESHO YA USAFIRI: Utoaji wa barabara mpya Watumiaji wa ziada wa na njia za mawasiliano Mabasi Yaendayo Haraka 2032 2017 2032 km 203 ABIRIA + ABIRIA ZA BARABARA MPYA 155,000 395,000 KWA SIKU KWA SIKU UWEZO WA ZIADA WA 48% MIUNDOMBINU Upatikanaji wa Upatikanaji MIPYA huduma za usafi wa Umeme 2032 2017 kaya 54,000 2017 kaya 90,000 km 69.1 ZA MABOMBA MAKUBWA NA KEBO ZA MAJI, 2032 MAJITAKA NA UMEME kaya 450,000 2032 kaya 450,000 16 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 Maendeleo ya Miundombinu ya Mkakati huu mipango ya Maendeleo ya Miundombinu ya Usafiri Mjini Usafiri Mjini unalenga kuongeza faida ya Barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu 1 pamoja mpango mpya wa matumizi bora ya ardhi ya eneo la barabara, unaelezewa kupitia dondoo zifuatazo: 01 Timu yenye maarifa ya juu ya Barabara 04 Uendelezaji kipolepole wa maeneo za Mabasi Yaendayo Haraka ndani ya yasiyopimwa - utoaji wa nyumba za Halmashauri ya Jiji. Kusimamia upangaji gharama nafuu. Kujumuisha ujenzi wa wa mpango mkakati, uendelezaji na kuratibu miundombinu na mazingira mazuri ya kuishi miongoni watendaji wa jiji, mifumo na mahali ambapo umiliki umerasimishwa. miundombinu & kuvutia uwekezaji. 05 Ongezeko la maendeleo makubwa. 02 Kichocheo cha kutoa ajira rasmi. Kama Kutoa nafasi takribani 25% zaidi na sehemu ya mbinu ya matumizi mchanganyiko kuongeza idadi ya watu katika maeneo ya ya Maendeleo ya Miundombinu ya barabara za Mabasi Yaendayo Haraka. Usafiri Mjini husababisha kuwepo kwa 06 Kurasimisha umiliki pale ambapo ajira zaidi, makusanyo mengi ya kodi wakazi wako tayari kufuata masharti. Hii na kukuza hali nzuri ya kiuchumi. hubainisha haki za wamiliki na wapangaji 03 Usimamizi wa biashara za mitaani na kuthibitisha ardhi ya makazi ya watu pembezoni mwa barabara za mabasi ndani ya eneo la barabara za mwendo yaendayo haraka. Umeambatana na kasi, kuziondoa nyumba ndani ya maeneo hatua za kuimarisha wafanyabiashara yanajulikana kuwa yako hatarini. katika majengo mahususi katika 07 Kutengeneza sehemu za mapumziko & maeneo yaliyowekwa kimkakati. mzunguko wa mtandao. Kutumia mito iliyopo, mifereji ya maji mvua na barabara za mwendo kasi kutengeneza maegesho salama na yanayovutia na mzunguko wa mtandao. Muhimu pia kujua: Manufaa ya uwekezaji na Mbinu hii inalenga kutoa njia ya thamani kwa jiji zima kiwango cha juu kuelekea mkakati mkubwa wa ukuaji wa muda mrefu Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 ni barabara ya kwanza ya usafiri wa umma, adimu sana Wakati ambapo mradi unaendelea kukua katika Afrika na ya kwanza kubuniwa kwa polepole, kama ambavyo masoko yanakua, Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini/ hali za kijamii, kiuchumi na kimazingira fikra za Kuongeza Thamani ya Ardhi. Mabasi zinabadilika, mwelekeo wa jumla na nguvu ya Mwendo Kasi ni ‘mkombozi” kwa wakazi ya dira vinapaswa kuendelea kuwepo ili wengi wa jiji katika kupata starehe na kufikia kuhakikisha kuwa kazi inayoendelea kufanywa huduma za kijamii, kupata ajira zaidi, huduma inajikita na kulenga katika Maendeleo bora na kuboresha maisha ya kila siku jijini Dar Yanayofungamana na Usafiri Mijini. es Salaam. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 17 08 Uwekaji kipaumbele katika kutumia tozo za kodi kuweka maeneo utoaji mkubwa wa huduma. Kwa kuwa mazuri na yanayovutia barabara nzima ya mwendo kasi kuleta huduma zinazotegemewa 13 Michango ya Waendelezaji. Makakati katika maeneo yote ya vituo. wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi unaorodhesha mbinu nyingi ambazo 09 Huduma mpya za kijamii. Zinasambazwa kufikia mahitaji ya baadae yanayoimarisha zinawatia moyo wawekezaji na waendelezaji afya bora, elimu, mapumziko na usalama. kupanua maslahi ya kazi zao, kupitia michango ya awali iliyokubaliwa. 10 Uendelezaji & uwekezaji wa awamu. Hiyo inaashiria utekelezaji wa barabara za Mabasi 14 Utengenezaji wa maeneo katika msingi ya Mwendo Kasi unaofutia, mioundombinu wa mkakati wa TOD. Kutengeneza mingine iliyopangwa kujengwa na maeneo yanayovutia ya kufanyia kazi na kuongeza kipato cha uwekezaji (kuepuka kuishi -katika kuweka maeneo ambayo kuongezeka kwa soko la ardhi iliyopo). watu wanaweza kuishi, huku kukiwa na 11 Kupaongezea nguvu mpya mjini kati msisitizo katika maeneo ya kijamii. penye historia ndefu. Kupitia uongezaji wa 15 Sera za TOD kuongezea mwongozo wa ubora wa maeneo yaliyo karibu na vituo. sheria uliopo sasa. Hii hufanya iwe rahisi 12 Mikakati ya afya katika jiji. Kama kuingiza kanuni zilizotungwa katika sheria vile kutumia “viwango vya maeneo ili ziwe madhubuti na zinazotekelezeka. ya wazi vya “Shirika la Afya Dunia” na Mambo kuendelea kama kawaida? Wakati ambapo mkakati unatoa mbinu Hata hivyo, masharti ya mpango miji mpya mpya katika kushughulika msongamano na yataendelea kufaa kutumiwa kama na wakati mgawanyo wa matumizi ya ardhi ndani ya ambapo utafikia wakati ambao kila eneo eneo la barabara za mwendo kasi, maeneo limetathiminiwa kwa ajili uendelezaji mpya, mengi katika eneo hilo hayatapa mabadiliko kutegemeana na na sababu za hali ya kiuchumi ya haraka ya kimwonekano. Maeneo ya eneo husika au kwa sababu nyinginezo. yaliyopo katika maeneo yanayolengwa Hii itaruhusu eneo kuchukuliwa taratibu yanatarajiwa kubaki bila kuathiriwa kwa taratibu kufuata utaratibu wa Maendeleo asilimia kubwa. Yanayofungamana na Usafiri Mijini, kwa msaada wa mamalaka za mipango miji. 18 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Miradi yenye Kipaumbele - Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi Mkakati huu unawekea kipaumbele maeneo yanayofuata barabara na vituo vyake vya mwisho kama msingi ambao kwao Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini mapya itaaimarishwa, kuondoa msongamano na mlundikano mbali na mjini kati ambapo kuna mbanano mkubwa. Kadri ambavyo maeneo msingi yanavyozidi kuwa mengi na kukua, yanapata umuhimu kuvutia uendeshaji wa moja kwa moja unaoruhusu mfumo wa Mabasi ya Mwendo Kasi kukimbia vizuri zaidi na kufanya gharama za safari kuwa nafuu. Vipaumbele vya sasa vya Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini: • Vitaongeza utoaji mkubwa wa huduma katika barabara nzima ya mwendo kasi • Utaboresha huduma za kijamii (shule, afya, mapumziko) ndani ya maeneo yanayozunguka vituo • Kuanzisha vituo vya maendeleo vinavyohusiana na: - Ubungo - Kivukoni na maeneo ya baharini - Barabara ya Morogoro kuelekea mjini kati - Gerezani/ Kariakoo - Fire/Jangwani - Magomeni - Morocco/Kinondoni - Kimara Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi unataja vitu vya miradi iliyowekewa kipaumbele kwa kila eneo, ambavyo vitatolewa kupitia mawakala mbalimbali wa umma viliwezeshwa kupatikana kupitia ubia wa sekta binafsi. Mwelekeo wa Miradi Kwenda zaidi ya fungu la kwanza la matumizi, inatarajiwa Maeneo ya vituo katika kila eneo yatakuwa chini ya fedha nyingi zaidi kupatikana ili kusaidia kuchochea miongozo ya eneo la kituo, inayokuza maendeleo hatua nyingine ambazo kwazo huduma zinazofuatia za makubwa mchanganyiko ndani ya maeneo yenye Mabasi ya Mwendo Kasi zitaanzia, ili kwamba matokeo ya umbali wa dakika 5 na katika njia muhimu za uongezeaji wa thamani ya ardhi kutokana na uwekezaji kuingilia barabara kuu. kwenye Mabasi ya Mwendo Kasi upatikane kwa faida ya umma. Hii itatumika kuweka msingi wa mtandao uliokamilika wa Mabasi ya Mwendo Kasi hatimaye. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 19 Picha ya mwonekano wa kipaumbele muhimu cha mradi katika kituo cha Gerezani © Broadway Malyan Michango ya Waendelezaji Binafsi Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za iliyokubaliwa, uboreshaji wa maeneo ya Mwendo Kasi unawekea kipaumbele maeneo umma, michango ya kifedha na mitaji mahususi kwa ajili ya uwekezaji wa umma na mingine ambayo inaboresha mazingira binafsi kama maeneo chochezi ya ukuaji. ya maeneo ya mradi au nje ya maeneo ya mradi, kama ambavyo yatakuwa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za yamepewa kipaumbele ndani ya mkakati. Mwendo Kasi unaorodhesha mbinu kadhaa na motisha ambavyo huwatia moyo wawekezaji na waendelezaji kuongeza faida katika kazi zao, kupitia michango ya upangaji 20 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi unaunga mkono Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Kimataifa Mkakati wa wa Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 hulenga kuunga mkono nia ya Umoja wa Kimataifa ya Malengo ya Maendeleo Endelevu (ambayo Serikali ya Tanzania imejidhatiti kuyafikia Maendeleo endelevu yamefasiliwa kama maendeleo ambayo yanatimiza mahitaji ya sasa, bila kuathiri uwezo wa vizazi vijavyo kujitimizia mahitaji yao. Malengo yake mahususi yamefupishwa katika malengo mapana 17. Mkakati wa Barabara za Mwendo Kasi unasaidia, hasahasa, malengo yafuatayo: • Kazi nzuri & ukuaji wa uchumi (lengo la 8) • Uboreshaji wa hali ya usafi (lengo la 6) • Afaya njema na ustawi (lengo la 3) • Maendeleo yanayozingatia mazingira (leongo la 13) • Fursa ya elimu kwa wote (lengo la 4) • kuondoa umaskini (lengo la 1) na mwisho... • kujenga jamii yenye usawa na endelevu (lengo Malengo 17 ya Umoja wa Kimataifa ya Maendeleo Endelevu la 11) Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 21 Picha ya mwonekano wa kipaumbele muhimu cha mradi katika kituo cha Ubungo © Broadway Malyan Miundombinu Fungamani kama kiwezesho cha Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi Miundombinu ina nafasi muhimu katika kuleta ya Mabasi ya Mwendo Kasi ya Awamu 1 na katika mafanikio ya Mkakati wa Barabara za Mwendo Kasi. njia zinazoingia barabara ya mwendo kasi. Maeneo Ni muhimu kwamba uwekaji na uanzaji wa kutumia haya yenye vitu vingi na matumizi ya hali ya juu muundombinu ufuate mbinu ya ufungamanishaji ya ardhi hayawezi kupatikana bila kuambatana ambao una sifa zifuatazo: na miundombinu muhimu. Msongamano wa vitu vingi unazingatia mahitaji ya huduma ngingi, na • Miundombinu kama sharti la awali matarajio ya ongezeko la kipato cha kila kaya, Sifa muhimu ya miundombinu (usalama wa ugavi kiwango kikubwa pia cha huduma kinatarajiwa. wa maji, matibabu ya majitaka, usambazaji wa Kwa hiyo, miundombinu inahitaji kuhusishwa katika nishati) huhitajika kuwapo, kwa kiwango chenye mipango ya usongamanishaji wa vitu ili kuhakikisha uwezo wa kutosha na kufikika, kabla ya Maendeleo kwamba thamani hii muhimu inafunguka kikamilifu. Yanayofungamana na Usafiri Mijini kuanza kivitendo. Hii hujumuisha mpangilio maalumu wa • IMiundombinu kama mbinu ya nyongeza kitaasisi kuvisimamia. Kwa hiyo, miundombinu katika kufikia Maendeleo Yanayofungamana na huhitaji kuwa kama sharti la awali kuonyesha faida Usafiri Mijini zinazohusiana na Maendeleo Yanayofungamana Miundombinu inahitaji uwekezaji mkubwa wa fedha na Usafiri Mijini. za umma na binafsi kuzalisha mtaji unaohitajika. Mtaji huo hauwezi kupatikana kwa mara moja na • Miundombinu kama kiwezesho cha kuongeza unahitaji kuwa katika awamu ili kuumudu na kupata thamani. faida kutoka kwenye uwekezaji. Kwa hiyo, kiunzi TOD inalenga kutoa eneo linalovutia na lenye cha utekelezaji ni muhimu sana katika kuanza msongamano wa mali nyingi ndani ya Barabara uwekaji wa miundombinu ili kuwezesha Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. 22 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari DIRA Wakati ambapo mikakati kabambe inatekelezwa, umuhimu wa kuwa na lengo moja linalofanana na dira ya jumla kwa Barabara zote za mwendo kasi ni muhimu sana. Nia muhimu ya kuelezea, kwa muda fulani, huwasaidia wadau mbalimbali kuendana na vitendo na maamuzi yanayounga mkono Dira ya pamoja. Dira ni Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 kuwa imara na madhubuti, matumizi- mchanganyiko, mji wenye mazingira yenye msongamano wa vitu katika eneo dogo, kuwa na manufaa mapana ya jamii ya Dar es Salaam, ambayo huletwa na kuchochewa na muundo wake wa kipekee: Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi. Barabara ya kwanza katika utoaji wa usafiri mzuri wa umma hufanya Barabara za Mwendo Kasi kuwa ni pendekezo la kipekee sana ndani ya jiji, inayowezesha idadi kubwa ya watu kuzifika huduma za kijamii, fursa za ajira na maeneo ya mapumziko. Katika kiini cha dira kuna nia ya kuongeza ubora wa maisha, kuchochea uchumi wa maeneo husika na kuzifungua barabara za jiji zenye msongamano Kupitia uzingatiaji wa upangaji kanda wa matumizi ya ardhi, sera zinazomlenga mlaji na jitihada za sekta za umma, uwekezaji mkubwa wa umma katika kutoa huduma ya Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi utatoa faida kubwa kwa jamii pana ya Dar es Salaam. Kanuni za Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini zinazosaidia muundo wa ukuaji wa ‘Jiji lenye vitu vingi’ zinaweza kuzidi kuendelea kutumika katika eneo lote la kati la jiji la Dar es Salaa, kwa kuwezeshwa na kila awamu inayofuata ya mtandao uliopangwa wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi. Hii itaunda kiunzi ambacho kwacho shughuli mpya bora za ujenzi wa nyumba na za kiuchumi zitafuata na kutoa viwango tofauti vya kupata usafiri wa umma na uwekezaji kwa ajili ya jiji. Dira ya Barabara ya Awamu 1 ya Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi ni kuwa ramani na msingi wa barabara zitakazojengwa baadae za mtandao wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 23 TOD INAWEZA KULISAIDIA JIJI LA DAR ES SALAAM NYUMBA NYINGI ZAIDI UFANIKISHAJI KUFANIKISHA YAFUATAYO: KIUCHUMI AJIRA NYINGI ZAIDI KUJITANUA KATIKA WAKATI UJAO KUKUA KWA UCHUMI UENDELEVU HEWA SAFI UWEKEZAJI WENYE MALENGO UFIKIKAJI RAHISI DIRA HAMASISHI 24 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari UJUMBE MUHIMU WA KUCHUKUA KUTOKA KATIKA MKAKATI... Mkakati Uliopendekezwa Mkakati unapendekeza kuweka malengo ya kuwa na msongamano mdogo ili kuwataka Barabara ya Morogoro ndiyo itakuwa kiini cha matumizi waendelezaji kutumia muundo wa mji wenye makubwa na bora ya Barabara ya Usafiri wa Mabasi ya vitu vingi katika sehemu ndogo. Malengo haya ni Mwendo Kasi Awamu 1 ikiwa na majengo yenye ofisi za lazima yaweke msisito mdogo kwenye sehemu kibiashara, hoteli, nyumba za makazi na huduma za kijamii za maegesho, na kuweka msisitizo zaidi kwenye ambazo zinafuata barabara.. maeneo boya ya rai watembea kwa miguu kama vile njia, taa, utengenezaji wa mandhari na Maeneo ya zamani ambayo hayakupangwa maeneo ya barabarani. yatapewa hati mpya ya uhai wake kupitia shughuli za umilikishaji na upangishaji, ambazo Kimara ina nafasi/eneo la kufanyia biashara na zitawafanya watu waone fahari ya mazingira ya kuwa na kuchukua shughuli nyingi za kibiashara nyumba zao. Hii itawasaidia wakazi kuboresha ili kuzuia nguvu kazi inayotoka Mbezi, ikitoa viwango vya nyumba zao kupitia taratibu za huduma ya soko la mazao ya kilimu kwa bei ya kisheria na mifumo ya mafunzo, ilihali mitaa jumla na kuwa kitovu cha usambazaji mipya na maeneo ya wazi yatabaki kuwa na mazingira mazuri zaidi kuishi. Magomeni inakuzwa kuwa kama kituo chenye matumizi mchanganyiko ikiwa na Maegesho Majengo marefu zaidi yatalengwa zaidi katika mapya ya Msimbazi pale Jangwani ambayo maeneo ya karibu na mjini kati, wakati kiini yatachangiwa na wilaya ya Upanga cha pili cha jiji kitakuwa katika wilaya mpya ya jiji huko Ubungo. Eneo hili linaonesha kuwa na Morocco na Gerezani zina lenga kuwa kama uwezo mkubwa wa kukua, ambapo ardhi iko njia mojawapo ya Awamu 1 katika kuvuta tupu na maendeleo yamesambaa na ni rahisi maendeleo mapya ya kiuchumi kwa lengo la kuyapata. Ikiwa ni eneo zuri kabisa kwa shughuli kuongeza uwezekano wa kufikia walau awamu za kibiashara, kijamii na kielimu, Ubungo itaupa inayofuatia. mkakati huu wa barabara ya mwendo kasi Eneo la mjini kati na sehemu yake iliyo mbele utambulisho wake mpya na nguvu ya kiuchumi. ya bahari ni lazima yaendelezwe ili kuwa na shughuli nyingi zaidi za kibiashara na kitalii na kuyaweka majengo yake ya kihistoria katika namna ya matumizi ya kiuzalishaji Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 25 Mpaka wa Eneo la Utafiti Ofisi za Manispaa Soko Eneo la Wazi/Maegesho Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Jengo Kubwa la Afya Huduma za Dharura Maegesho Maalumu Kituo kikuu - Eneo la Biashara Vifaa vya Kuegesha na Chuo Kikuu Kituo cha Biashara Kituo Kikuu - Eneo la Makazi Kuendesha Kituo Kikuu - Eneo la shuhguli za Eneo la Viwanda Majengo ya Elimu ya Kituo cha Treni Kijamii Msingi na Sekondari Kituo cha Kivuko Maengesho ya Jangwani Majengo ya Hoteli * Kituo cha Utafiti Kituo cha kidogo cha Makazi Kiunzi cha Maendeleo cha Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 N (mchoro hauko kwenye kipimo) Mpango Mkubwa wa Ubungo Maegesho ya Jiji ya Msimbazi Ubungo iko katika moyo mpya wa jiji na Mradi unaoendelea wa kulibadilisha Bonde la inaweza kuwa eneo jipya lenye shughuli Msimbazi kuwa katika maegesho mapya ya jiji mbalimbali, na ardhi yake inayopatikana na tayari umekwisha anza na uko katika hatua za muunganiko mzuri wa usafiri, ikiwa na soko lake awali za upangaji. Eneo hili lililo bondeni lina eneo jipya la machinga na eneo lenye maendeleo ya linaloweza kuwa na viwanja vya michezo na maeneo matumizi mchanganyiko. ya mapumziko kwa wakazi wote wa jiji na wageni. Maegesho yatakuwa eneo kubwa la mapumziko na Gerezani inapata biashara starehe linalofikiwa na Mabasi ya Mwendo Kasi. Gerezani iko mahali ambapo kuna makutano ya njia tatu za Mabasi ya Mwendo Kasi zinazotumika Wilaya ya Manzese katika Barabara ya Morogoro, Barabara ya Pugu Maboresho ya Ziada ya maeneo yasiyopangwa na Barabara ya Kilwa. Mahali pake ilipo karibu kwa mbinu za kimkakati kuanzisha kwa na bandari na kuhudumia uwanja wa ndege shughuli zilizo vichocheo vya maendeleo. uliopanuliwa, huifanya kuwa kituo muhimu cha kibiashara kwa siku zijazo, ambacho kinaweza kubeba maendeleo mchanganyiko mengi zaidi kama mbadala wa sehemu za mjini zenye Baruti - Ubungo Magharibi msongamano mkubwa. Uimarishaji wa taratibu wa ardhi kupitia uboreshaji Lango la Jiji Jipya wa nyumba za makazi zilizo mbalimbali, kwani eneo kubwa la barabara lina maeneo ya mikusanyiko Eneo la karibu na bahari kutokea Kivukoni ya watu wanaofanya shughuli mbalimbali hadi Halmashauri ya Jiji litaboreshwa kwa yanayozunguka vituo vya mabasi ya mwendo kasi. kuwa na vitu vipya vya kitalii na kuyatunza Malengo ya kujumuisha nyumba mpya ngingi za majengo ya kihistoria ili kupafanya mjini kati makazi zenye gharama nafuu, zinazojengwa kupitia kuwa panapowafurahisha wageni. Morocco Shirika la Nyumba la Taifa. Baruti itakuwa kituo itapanuliwa mpaka katika Kituo cha Kinondoni kikubwa cha kawaida ilhali kituo cha mabasi ya kama kituo muhimu cha biashara. Kimara mwendo kasi kitakuwa sehemu ya kupumzikia itakuwa kituo cha kilimo-biashara na biashara. abiria wa Kimara, Ubungo na Mjini Kati. 26 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari *Tanbihi: maeneo yenye kivuli BARABARA ILIYO LEO cha njanoyanawakilisha maeneo ya makazi yaliyopimwa na yasiyopimwa (na yamechorwa tofauti tofauti katika Mkakati unaopendekzwa upande wa kulia, ambayo huwakilisha makazi. * Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Mipaka ya Eneo la Utafiti Matumizi Mchanganyiko Viwanda Makazi Yaliyopimwa Usafiri na Huduma za Jamii Makazi Yasiyopimwa Eneo la Wazi Biashara Jeshi Taasisi Maji N Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Ugawaji wa Matumizi ya Ardhi Iliyopo - 2017 (Mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) MAGEUZI YA ENEO LA BARABARA YA *Taarifa zinazotokana na utafiti wa kipato uliofanywa Katika eneo la Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 mwezi Septemba MWENDO KASI 2017, unaotokana na taarifa kutoka kwa zaidi ya rai 2000 Leo hii eneo la Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu Mkakati wa nyumba za gharama nafuu ulitokana na data 1 ni kivutio cha zaidi ya wakazi milioni 1, inatoa makadirio zifuatazo: ya ajira rasmi 310,000 na kupanga eneo la zaidi ya Hekta • Wapangaji wengi (90%)wanalipa zaidi ya shilingi 30,000 5,550 za ardhi iliyo sehemu nzuri ndani ya eneo pana la jiji kwa mwezi kama kodi (dola za kimarekani 13) la Dar es salaam. • Zaidi ya nusu ya wale waliotafitiwa wanalipa chini ya Kazi ngumu ya kuelewa mazingira ya sasa - kuweka katika shilingi 50,000 kwa mwezi (dola za kimarekani 22) vitendo mikakati madhbuti zaidi ya ukuaji wa mji - iliwezeshwa, kwa sehemu fulani na taarifa iliyokusabywa kupitia (miongoni • Kiasi cha nusu ya idadi ya watu waliotafitiwa wanapata mwa vyanzo vingine vya taarifa) utafiti wa kipato. Zaidi ya kipato chini shilingi 300,000 kwa mwezi (dola za kimarekani wakazi 2000 walitoa taarifa inayofaa, kusaidia kutengeneza 132). mikakati ya baadae ya eneo la barabara. Kutokana na jumla ya alama, eneo la katikakti ya barabara Mikakati ya uboreshaji ilipatikana, kwa sehemu, taarifa za (kuanzia Magomeni Mapipa mapaka Ubungo Maji), lilionekana kaya (watu 5,5/kaya) na takwimu zinazihusiana na umiliki kwa ujumla kuwa ni ukanda usio na faida sana, likawa ni eneo wa nyumba (54% ya kundi la utafiti ni wamiliki wa nyumba), lililolengwa zaidi kwa ajili ya kuanza shughuli za uboreshaji ambao wana viwango tofauti tofauti vya umiliki wa nyumba katika eneo la barabara.. katika eneo lote la barabara. Shabaha ya uwekezaji na viwango vya mahitaji ya uboreshaji vilitokana na viwango vya mafanikio vilivyoonekana wakati wa utafiti, vikiwakilishwa na mpaka wa mjini kati, maeneo ya kaskazini mwa eneo la barabara, (mpaka Morocco Mwisho) na Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 27 ENEO LA BARABARA 2032 KIELELEZO Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Barabara ya NMabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi Kanda za Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi N Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mkakati wa Matunizi ya Ardhi Uliopendekezwa (mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) KIELELEZO BIA2 Biashara (Kati) MIU1 Kazi za umma MAK1 Makazi (SF - Chini) BIA3 Biashara (Kubwa) MIU2A Usafiri (Anga & Maji) MAK2 Makazi (SF - Kati) BIA4 Hoteli MIU2B Usafiri (Ardhini) MAK3 Makazi (SF -Mkubwa) BIA5 Rejareja EW1 Eneo la Wazi la Jumla MAK4 Makazi (MF - Kati) JAM1 Afya EW2 Maegesho na Fukwe MAK5 Makazi (MF - Mkubwa)) JAM2 Elimu EW3 Michezo na Mapumziko MM1 Matumizi-Mchanganyiko Maalumu JAM3 Sehemu za Ibada EW4 Makaburi MM2 Matumizi-Mchanganyiko (Hutumika JAM4 Huduma za Umma na Kijamii Ramani ya Kigamboni kwa Makazi) JAM5 Majengo ya Umma MM3 Matumizi-Mchanganyiko (Hutumika VIW1 Viwanda Vidogo Vidogo kwa Makazi) VIW2 Viwanda Vikubwa VIW3 Maeneo ya Shughuli Mablimbali maeneo ya Kimara Mwisho, kama maeneo yenye kipato kizuri Ingawa bado kuna nafsi ya kuboresha maeneo mengi yana na maisha bora zaidi, na yenye nyumba chache, lakini zenye kiwango kizuri cha kufikiwa na maji ya bomba. Kinyume chake ubora. ni eneo la mjini kati tu na sehemu za Magharibi mwa kipande cha Eneo la Barabara (Kibo hadi Kimara) yana mfumo mzuri wa Kwa maeneo mengi ya vituo kiwango cha mapato kilikuwa maji taka. kinaendana wakati wote na vipimo vya mafaniko kwa ujumla. Sehemu ya Manzese na Argentina, iliripotiwa kuwa na kiwango Mkakati changamani na wenye viwango vingi vya maendeleo cha juu zaidi ya wastani wa kipato. Matokeo haya ni magumu na uboreshaji uliandaliwa kukidhi mahitaji ya ongezeko la idadi kuelezea lakini yanaweza kuonyesha kwamba si watu wote ya watu linalotarajiwa, pamoja na hitaji la kuongeza tahamni katika maeneo yasiyopimwa hawana uwezo wa kulipa kodi kutoka kwenye mradi mkubwa unaowekezwa katika Usafiri wa kubwa ya nyumba ikiwa nyumba stahiki zitapatikana, katika Mabasi ye Mwendo Kasi.. maeneo yaliyopangwa upatikanaji wa usafiri ni kipaumbele Mkakati unalenga kutoa nyumba kwa idadi ya watu takribani milioni 1.8 na unapangwa kutoa ajira rasmi takribani 650,000. 28 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari MIPANGO YA UKUAJI Msongamano Mkubwa - Dar es Salaam inahitaji uwezo mkubwa wa kuwa na maendeleo endelevu. Hii haumaanishi itafanikiwa vizuri zaidi katika maeneno ya jiji yenye barabara za usafiri, kwa kutoa majengo marefu tu viwango stahiki vya miundombinu na huduma za jamii ili kutengeneza mazingira au watu wengi yenye tija na matumizi- mchanganyiko. Hii itatoa fursa kwa wakazi kupata mafunzo na ajira ili kuwa na maisha bora katika maeneo yake ya kati. Mageuzi ya Barabara za Maeneo ya Dar es Salaam yatajitokeza kwa nje kulifanya jiji zima Msongamano ni kuwa kichocheo cha kutolifanya jiji la Dar es Salaam kutosambaa zaidi katika kiashiria tu maeneo yake yaliyo mbali na bahari. UN-Habitat hushauri kuwa janiiza mijini endelevu ni lazima zizidi watu 150 Msongamano kwa hekta (wkh) na kwamba maendeleo ya matumizi-mchanganyiko ni uliolengwa lazima yachuke eneo la 40% kwa matumizi ya kiuchumi katika mazingira utabadilika yoyote yale. Kaya 20-50% ni lazima ziwe ni za gharama za chini, na zenye baada ya muda miundo mbalimbali ya upangishaji (kodi ya pango, rehani za nyumba, jamii, mahuruti). Majengo yenye matumizi ya aina moja ni lazima yasizidi 10% ya Mlundikano eneo, ilihali eneo la barabara linatakiwa kuwa la 30% (km 18/10,000 ha za wa shughuli ardhi) UN-Habitat (2014) “A New Strategy of Sustainable Neighbourhood Planning: Five Principles - Urban Planning Discussion Note 3” Usimamizi wa jinsi watu wengi wanavyoishi katika sehemu Kuelewa ‘kwanini’ mabadiliko yanaongezeka pale mbalimbali za eneo la barabara utakuwa ni wa muhimu kwa yanapoongezeka? Ongezeko la jumla la idadi ya watu lazima ligawanywe mafanikio ya utumiaji wa Maendeleo Yanayofungamana na kimkakati katika eneo barabara, ili kuusawazisha upya Usafiri Mijini, pamoja kulisaidia jiji la Dar es Salaam kutimiza mtawanyo wa watu, kwa maana kwamba katika baadhi azimio lake la kuipatia nyumba idadi ya watu inayoongezeka ya maeneo msongamano wa idadi ya watu utaongezeka kwa kasi. na katika baadhi ya maeneo utapungua. Miundo ya msongamano na maendeleo iliyopendekezwa katika Msongamano ni suala vipimo vya kitakwimu, linalohitaji upangaji Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi unaiunga mkono safari ya Serikali ya kujipanua kuelekea wa mji na ufafanuzi wa kimuundo ili uweze kuwa na manufaa juu badala ya kuelekea nje ya mji, kama inavyoelezwa katika mazingira haya. Miundo ya mitaa, ufikikaji wa usafiri, katika Sheria ya Mipango Miji ya 2007 matumizi mchanganyiko, urefu wa majengo na mlundikano vyote vina nafasi kubwa. yanayozunguka mabonde ambapo watu wanaishi katika maeneo hatarishi kwa mafuriko. Mbinu ilichukuliwa katika utumiaji wa aina za nyumba na muunganiko wake na matumizi mengine kama vile biashara Uondoaji mwingine wa vitu katika eneo la kati la jiji na katika za reja reja, shule naofisi za kibishara vyote vitaathiri jinsi eneo maeneo yanayozunguka vituo huweza kuonekana kama ni linavyochukuliwa na kushika nafsi yake. kujipinga vile lakini uondoaji huu utafanyika kwa sababu maendeleo ya matumizi mchanganyiko ambayo yatapunguza Ramani iliyo chini kulia inaonyesha msongamano mpya msongamano wa makazi ila utaongeza ajira. uliopendekezwa katika mkakati mpya wa matumizi ya ardhi ukilinganishwa na msongamano uliopo katika eneo la utafiti. Ramani iliyo juu kulia inaonyesha muunganiko wa athari za Rangi nyekundu inawakilisha ongezeko la msongamano. Hii msongamano pale ambapo msongamano wa makazi na ajira inattumika katika eneo kubwa la barabara , hususani katika njia za vimezingatia. Hii inajulikana kama ‘Mlundikano wa shughuli’. Mabasi ya Mwendo Kasi na wilaya mpya iliyopendekezwa katika Mlundikano wa shughuli unaonyesha kwa wazi kabisa eneo la Ubungo-Kimara. kwamba njia za Mabasi ya Mwendo Kasi zitakuwa njia Rangi ya bluu inawakilisha kupungua kwa msongamano na iko muhimu za mawasiliano ya shughuli za Mkakati wa sana sana katika eneo la katikati ya barabara kuanzia Magomeni Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi, ikisaidiwa na njia hadi Urafiki. Hapa ndipo msongamano unapopatikana katika zinazoingia barabara ya mwendo kasi (ambazo baadhi yake barabara leo hii na kwa hiyo, si ajabu kwamba maboresho zitakuwa barabara za Mabasi ya Mwendo Kasi katika awamu ya maeneo haya yatahitaji upunguzaji wa kiasi fulani wa zinazofuata). msongamano ili kwamba mazingira ya kuishi yaweze kuboreshwa Maeneo yenye giza katika eneo la Kimara, Ubungo na Morocco na kutoa huduma za kijamii na maeneo ya wazi. na katikati ya jiji yanaonyesha mahali ambapo shabaha mpya ya Uondoaji wa idadi kubwa ya watu utafanywa katika maeneo maendeleo inapotiliwa mkazo kwani maeneo haya yamekuwa vituo muhimu vya jiji. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 29 MSAMBAO WA IDADI YA WATU Eneo la Wazi Matumizi ya Ardhi Yasiyo ya Makazi Wakazi 100 - 300 kwa Hekta Wakazi 300 - 600 kwa Hekta Wakazi 600 - 700 kwa Hekta Vito vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Wakazi 700 - 725 kwa Hekta Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Wakazi 725 - 800 kwa Hekta Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi N Wakazi 800 - 900 kwa Hekta Ukanda wa Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi Barabara ya Mabasi ya Mwdndo Kasi Awamu 1 - Msambao wa Msongamano wa Makazi Halisi uliopendekezwa (picha ya ufafanuzi, haiko kwenye vipimo) PICHA YA MABADILIKO YA MSONGAMANO Punguzo Kubwa Ongezeko dogo Kielelezo Punguzo la Kati Ongezeko la Kati Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi Kanda za Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Mwendo Kasi N Punguzo dogo Ongezeko Kubwa Eneo la Wai Hakuna Mabadiliko Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mabadiliko ya Msongamano wa Idadi ya WATU (mchoro wa ufafanuzi, hauko katika vipimo) 30 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ZA KIUBORESHAJI KUCHORA RAMANI YA MAENEO YENYE UHITAJI Kielelezo Mazingira Mazuri ya Kuishi Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi Kanda za Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi N Reli Vivuko vya Majini Mazingira Mabovu ya Kuishi * Taarifa kutoka katika Data ya sensa 2012 Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mazingira Mji ya Sasa (mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) Uboreshaji wa wa eneo la Barabara ya Morocco ni lengo Magomeni kuelekea Morocco. Kuna ushahidi kwamba hali kuu la Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi. hii inabadilishwa na maendeleo mapya, yenye msongamano Hili litafanyika kwa serikali kuelekeza matumizi yake katika yanayobadilisha viwanja vya familia moja vya chni-juu vyenye shughuli za uimarishaji miundombinu, wakati huo huo familia nyingi na majengo yenye matumizi-mchanganyiko. ikihimiza mabadiliko ya taratibu taratibu kupitia kutoa hati za Kuibukia kwa maeneo yenye shughuli nyingi na michezo, kama ardhi na kujenga nyumba mpya kupitia miradi inayofanywa vile Sinza, katika Barabara ya Kawawa na Barabara ya Bagamoyo na sekta za umma na binafsi. yameanza kuendelezwa kuwa maeneo ya vituo muhimu vya kibiashara kwa maslahi maoana ya jiji. Kimafanikio, mustakabali mpana umefikiriwa kwa ajili wakazi wa Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1. Njia ya Shughuli za uboreshaji wa nyumba zitakuwa na msingi wa kufanikisha hili itakuwa changamani, iliyo kwenye awamu za shughuli nyingine mbalimbali: muda fulani na itahitaji jitihada zenye muundo na shabaha za • Anuani rasmi, njia za usafiri na aloama za posta kimaendeleo. Kipengele muhimu cha shughuli za uendelezaji mpya zitajikita kwenye shughuli za uboreshaji. Mabadiliko • Shughuli rasmi za ajira katika sekta zote ya nyongeza yatakuwa halisi katika sehemu nyingi za eneo la • Utoaji wa maeneo ya wazi ya huduma za jamii, afya, elimu barabara. na mapumziko Kwa sasa eneo la katikakti la barabara lina maeneo mengi • Kanuni zilizoboreshwa za shughuli za kiashara za mitaani yasiyopangwa yenye msongamano mkubwa, hususani • Kusimamia kanuni za usafiri usio rasmi (boda-boda, Bajaji) eneo la Manzese na Urafiki. Maendeleo yanapungua kasi ili kudhibiti na kusimamia shughuli zao na yanaimarishwa kadri yanavyoendelea mbele kuelekea Ubungo na Kimara. Tatizo linatokana na usimamizi mbovu • Kutoa maeneo ya ujasiriamali, ubunifu na shughuli mpya za wa ardhi ambao umesababisha maendeleo upangaji kielimu wa msongamano mdogo kuruhusiwa katika maeneo ya • Kuvutia maslahi ya wageni (wawekezaji, biashara, vipaji vya muhimu ya jiji kama vile katika Baranara ya Kawawa kutokea kutafuta biashara) Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 31 Eneo la Kiwanja FAR FAR 1.7 m2 380-620 Wastani Upana wa Kiwanja 0.57 Wastani wa m16 Kiwanja Kilicho Chini ya Matumizi Eneo Lote la Kiwanja Chenye Maendeleo Zaidi Kiwanja Biashara ya Rejareja kwa FAR kila mtu 57% Mfano wa mazingira ya majengo ya mji yaliyopo 1.7 Ramani hapo juu kulia inaonyesha mfano wa kitalu cha makazi tulivu katika jiji la Dar es Salaam na inaonyesha njia nne tofauti za urejesho. Mgawanyo wa kiwanja Katika mazingira ya mjini. kiwanja chenye ukubwa wa m² 480 kinachukuliwa kuwa ni cha kujistarehesha na kuwa na mahitaji ya nyumba ya aina hiyo. FAR Kwa kuvigwa viwanja katika viwanja vidogo vidogo zaidi vya ukubwa wa m² 180-240 na kuvijenga kwa kuwa na sakafu nyingi kama nyumba za mjini kutaongeza mara tatu msongamano kwa takribani 1.7 FAR. Mmiliki wa kiwanja anahusika kutoa fedha za uboreshaji kupitia kuuza moja ya kiwanja 3.0 kinapokamilika. Hata hivyo, mchakato huu unaweza kuwa wa taratibu sana isipokuwa motisha au vichocheo vitatumika. Uunganishaji wa Viwanja Kufanikisha FAR ile ile, lakini kwa namna na vitu tofauti kwa ajili nyumba nyingi, aina ya nyumba zenye ngazi za vyumba vya hoteli na mikutano. Ili kuiwezesha aina hii ya maendeleo kundi dogo la wamiliki ambao wanaishi karibu karibu watahitajika kuunganisha viwanja vyao ili kutengeneza eneo la ukubwa wa takribani m² 1,200 kwenda juu. FAR Uednelezaji Mpya Mkubwa Katika baadhi ya maeneo ubadilikaji wa zoni utakuwa ni kuzingatiwa, hivyo, 5.5 mtandao wa mitaa wa maeneo ya jirani hautaendana na aina ya muundo wa majengo inayotakiwa kufanikiaha msongamano wenye tija. Kikundi cha wamiliki wa viwanja wanaweza kuiweka pamoja ardhi yao na kuunda kikundi cha umiliki wa ardhi ili kuliendeleza eneo zima. Mwendelezaji anaweza kuamua kununua ardhi na kuvinunua viwanja vyote kutoka kwa 16 0m 0m 30 mmiliki. Katika matukio fulani maalum (kama vile ardhi iliyo karibu na vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi) mamlaka za mitaa wanaweza kudai kwamba eneo hilo ni la muhimu sana kwa maslahi mapana ya jiji kwamba ardhi hiyo ni lazima inunuliwe (kwa fidia stahiki inayolipwa kwa wamiliki). 32 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Jitihada za Uboreshaji na Unafuu wa Nyumba Mbinu iliyopendekezwa ya Uongezaji wa Thamani ya Ardhi intaongeza kipato cha taifa kwa kiasi cha Dola za Kimarekani bilioni 4.4 na kutoa nyumba za gharama nafuu 76,000 katika Awamu 1 ya Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi. Itabadilisha sehemu kubwa ya jiji na kuwa kama kielelezo cha Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini inayofutia jijini Dar es Salaam. Mbinu iliyopendekezwa ya Kuongeza Thamani Pamoja na gharama halisi za ujenzi tumechukulia kuwa ya Ardhi, kwa kuzingatia mtazamo wa ongezeko gharama za maandalizi ya ujenzi na miundombinu kwa la kati la idadi ya watu, unaweza kuokoa kipato hekta moja ni kiasi cha dola za kimarekani 500,000. cha umma kwa jumla ya Dola za Kimarekani bilioni 4.4. Mahesabu haya yanamaanisha Inakadiriwa nusu ya makazi haya yatatokana na kwamba soko la bidhaa linaitikia umuhimu uendelezaji wa kibiashara utakaofanywa na wawekezaji wa uendelezaji unaopendekezwa wa Barabara na makazi mengine yatatokana na uboreshaji wa ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1. Kwa ajili makazi yaliyokuwa duni. Hii itabadilisha eneo kubwa ya ukuaji huu unaotarajiwa nyumba zenye la mji na kuchukuliwa kama mfano wa maendeleo gharama nafuu 76,000 zitajengwa. Gharama yatokanayo na miundombinu ya usafiri katika jiji la zote za utoaji wa nyumba zenye gharama Dar es Salaam. nafuu zitabebwa na waendelezaji. Gharama za ujenzi wa nyumba mpya zinatarajiwa kuwa Kwa kuzingatia matajario makubwa ya jiji nyumba za kiasi cha dola za kimarekani 325 kwa m², gharama nafuu 39,000 zinahitajika, na kwa makadirio ikilinganishwa na kiasi cha chini cha nyumba ya ubadilishaji wa nyumba zilizopo zinaongezeka, zilizojengwa kwa ajili ya biashara ambazo kismsingi, nyumba nyingine 37,000 kwa zaidi ya miaka zimepangishwa au kuuzwa jijini Dar es Salaam. 15. Utafiti wa kipato uliofanywa mwezi Septemba 2017, Kwa kuongezea katika gharama za moja kwa unaonyesha kwamba idadi kubwa ya watu hawawezi moja za ujenzi tumekadiria zaidi ya kiasi cha kumudu kiasi cha kodi ya nyumba, zaidi ya theluthi dola za kimarekani 500,000 kwa hekta kwa ajili mbili ya kundi la utafiti (72%) linalipa chini ya dola ya maadalizi ya eneo na ujenzi wa miundombinu za kimarekani 66 kwa mwezi. Uchambuzi wa soko la mingine. Kwa makadirio ni kwamba nusu ya kibisahara kwa nyumba mpya unaonyesha kwamba nyumba hizi zitakuwa ni nyumba zinazotolewa kundi la kodi ya nyumba ya chini kabisa ni kama dola moja kwa moja na waendelezaji kama sehemu za kimarekani 300 kwa mwezi. Kiasi hiki kimechukuliwa ya maendeleo ya kibisahara na kwa kiwango kuwa ndiyo kodi ya ya nyumba ya chini kabisa. Hakuna kile kile, kama sharti la kuruhusiwa kuwa na hata mmoja katika kundi la maskini walio katika theluth mpango huo. mbili anaweza kumudu kodi ya nyumba ya dola za kimarekani 300 kwa mwezi, hata kama wangelipa nusu Nusu inayobaki itakuwa ni zao la uboreshaji wa ya mishahara yao. Kodi ya nyumba si suala la uchaguzi maeneo ya makazi ambayo hayajapangwa. Hii bila kuwa na ukuaji halisi wa kipato. itabadilisha sehemu kubwa ya jiji na kuwa kama kielelezo cha Maendeleo Yanayofungamana na Tafadhali rejea sehemu ya 2.4 ya ripoti kuu ya Mkakati wa Usafiri Mijini inayofuatia baadae katika jiji la Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi kwa maelezo zaidi Dar es Salaam. kuhusiana na gharama nafuu za nyumba Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 33 Mkakati wa Nyumba Zenye Gharama Nafuu katika Awamu 1 ya Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Mkakati wa Nyumba Zenye Gharama Nafuu katika Awamu 1 ya Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi unapendekeza mbinu tatu tofauti ambazo zitafanya kazi sambamba: 1. Nyumba za makazi za bei nafuu: Nyumba vinavyotarajiwa vitabaki kwa karibu 60% ya za gharama nafuu ambazo ni sehemu hazina nzima iliyopo ya maendeleo mapya, ya nyumba na 3. Ubadilishaji/urekebishaji wa nyumba soko. Mtindo huu unaonyesha kwamba zilizopo za kupangisha: Shirika la waendelezaji watatakiwa kutoa jumla ya Maendeleo, Makampuni ya Nyumba Yasiyo 25% ya GFA kama nyumba za gharama ya Faida, (ikujumuisha Makundi ya Kijamii nafuu na kuendelea kubakiwa na faida yenye Raghba na nyumba yaliyoidhinishwa) nzuri. 25% ya hii itakuwa ni kumiliki 75% yataweza kuomba fedha za Tozo za ya kodi. Shirika la Maendeleo au Kampuni Miundombinu ya Jiji ili kubadilisha la Nyumba Lisilo la Faida litawajibika nyumba mbaya kabisa zilizopangishwa. kutafuta wapangaji ambao watalipa kodi Baadhi ya, au fedha zote zitarejeshwa nafuu na kuandaa mfumo wa kupanga- kutoka kwenye malipo ya kodi nafuu. hadi-kumiliki kwa nyumba inazobaki. Nyumba za kupangishwa zinazotarajiwa 2. Ubadilishaji/Ukarabaki wa nyumba kubaki ni karibu 40% ya hazina nzima zilizopo ili kuzimiliki: Shirika la ya nyumba zilizopo. Kama kodi nafuu za Maendeleo, Makampuni ya Nyumba nyumba zilizokusanywa zitafikia kiwango Yasiyo ya Faida, (ikujumuisha Makundi kizuri na kuendelea kujirudia hivyo hivyo, ya Kijamii yenye Raghba na nyumba inawezekana kwamba lengo la kubadilisha yaliyoidhinishwa) yataweza kuomba fedha nyumba zizlizopo kwa 20%ndani ya miaka kutoka katika Tozo ya Miundombinu ya Jiji 15 litazidi kuboreshwa. kuboresha au kubadilisha nyumba mbaya kabisa. Fedha hizo zitagharimia 100% Kwa taarifa za kina kuhusu nyumba za makazi za bei ya miundombinu na 50% ya gharama za nafuu na mbinu ya uwezeshaji wake tafadhali rejea ujenzi. Hii itatumika kuwezesha ugawanyaji kwenye taarifa kubwa sehemu ya 2.4 na 4 kuhusu wa ardhi, upangaji upya wa viwanja na maendeleo yatokanayo na miundombinu ya usafiri uboreshaji wa miundombinu katika mijini maeneo ya makazi. Viwango vya umiliki 34 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari MKAKATI WA KUKUZA UCHUMI Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 inashika Sekta Muhimu kwa Ukuaji: nafasi kubwa sana muhimu za mahali pa kukutania. Teknolojia ya Kwa lugha za kiuchumi, mahali panapowakutanisha Habari Ubunifu watu pana umuhimu wa moja kwa moja katika biashara. Ni muhimu pia kwa namna isiyo ya moja kwa moja, Elimu ya Msingi, kulikutanisha jiji na wageni, kuwakaribisha wageni Sekondari na Vyuo wanaotembelea eneo na kwa kuchangia katika uzuri na Vikuu mvuto wa jiji. Kuruhusu maeneo yanayowakutanisha watu na vitu mbalimbali ya eneo la barabara kustawisha Huduma ya Viwanda, Chakula, Maduka, HITAJI LA na kuchangia kukuza matokeo ua uchumi ni kazi Afya na Tasnia KATI muhimu ya Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri zinazohusiana Mijini. Vichocheo Vikuu vya Ukuaji: Wakati ambapo Kimara ni kituo cha kufikia kwa bishara na Uhakika wa Ugavi wa Umeme utalii wa ndani, pamoja na usafiri wa mikoani wa ardhini Urahisi wa Kufanya Biashara (kiuchumi au kitalii), Morocco ni eneo linaloweka pamoja Urasmishaji wa Biashara za Mitaani vitu mbalimbali la aina yake - ni makutano kati ya mjini-kati na eneo la Kaskazini, na kituo kinachoanza cha shughuli za kibiashara. Bandari na ukanda wa kibiashara unaohusiana Utengezaji wa ajira rasmi ni matukio muhimu ya ujenzi nayo, reli kubwa iliyo karibu, kivuko kinachounganisha wowote wa mji katika kiwango cha jiji katika uchumi Zanzibar na bandari nyingine. Baadhi ya sekta hizi ni nzuri unaokua. Faida za awali za kiuchumi kwa wasio na kazi ni sana kungezea ukuaji wa kiuchumi na zinapaswa, kwa hiyo, wazi kabisa, lakini ni kianzio tu kwa matokeo ya kiuchumi, kupatiwa motisha. na kuongezeka kwa kiwango cha chini cha kodi kwa sekta za umma ni sababu muhimu za uongezaji wa thamani ya ardhi. Moja kati ya fursa muhimu na zinazobadilika jijini Dar es Salaam ambayo iko mwishoni mwa Awamu 1 ya Barabara ya Kwa kiwango cha ajira 17 kwa wakazi 100, kwa sasa Dar es Salaam Mabasi ya Mwendo Kasi, na kwa upande wa kutoa matokeo iko katika kiwango cha wastani ikilinganishwa na majiji mengine, ya kiuchumi, kupitia Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri lakini kwa takribani 65% ya ajira hizi ziko katika sekta zisizo rasmi, Mijini iliyopangiliwa vizuri, ni zawadi kwa jiji ambayo haipaswi jambo ambalo linakwamisha ukusanyaji wa mapato ya kodi - kupuuzwa. Kituo cha Wilaya ya Kibiashara kilichopo, maeneo ambayo ni muhimu kwa uongezaji wa thamani ya ardhi. Lengo la ya jirani yaliyoungana nacho ambayo tayari yameendelezwa Dar es Salaam ni kuongeza wastani wake wa ajira mpaka 50%, ili katika kiwango cha msongamano wa kati, yatapata ugeni kwamba izidi kukua kuelekea uchumi rasmi. wa majengo ya sekta ya umma, yatakayowekwa kwa ajili ya Takribani m² milioni 5.7 ya nafasi ya ajira mpya itatolewa, maendeleo, kwani sekta za umma zimepelekwa Dodoma kwa ambayo inaweza kuchukua wastani wa ajira rasmi 650,000. sehemu kubwa. Makadirio ya chini yanaoanishwa na tathimini za uwezo wa Majengo ya kihistoria , eneo la kati ya mji lililo karibu na sasa wa majengo ya masoko na tasnia ya ujenzi, kutoa fursa bahari, na sehemu kubwa ya ufukwe ambayo haijachafuliwa ya nafasi za ajira mpya 440,000. - sifa zote hizi zinaonyesha tija iliyopo. Eneo hili liko tayari kwa maendeleo mjini-kati palipo rafiki, panapovutia, na kusisimua, na kama ambavyo matumizi mabaya ya sekta ya umma huondolewa katika eneo hili, basi kuna fursa ya wazi kabisa ya kuhusisha matumizi mapya, ya karne ya 21, na kutengeneza moja kati ya makazi mazuri ya mjini hapa nchini. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 35 MGAWANYO WA VITUO VYA AJIRA N Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Proposed Employment Distribution (mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye kipimo) Kielelezo MM1 -Matumizi-Mchangayiko V1 - Viwanda Vidog Vidogo Vituo vya Mabasi aya Mwendo Kasi Maalumu V2 - Viwanda Vikubwa Awamu 01 MM2 -Makazi Yenye Matumizi- Mchanganyiko JAM1 - Afya Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 01 MM3 - Matumizi-Mchanganyiko ya JAM2 - Elimu Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Kibiashara JAM3 - Sehemu za Ibada Maendeleo ya Barabara ya Mwendo JAM4 - Huduma za umma na Kijamii Kasi B2 - Biashara ya Kati TA1 - Kazi za umma Kanda za Eneo la Utafiti wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya B3 - Biashara Kubwa TA2A - Usafiri - Anga & Maji Mwendo Kasi B4 - Hoteli TA2B - Usafiri - Ardhini B5 - Kupangisha EW1-4 - Eneo la Wazi Kusaidia Uchumi - Biashara Isiyo Rasmi Maeneo Mengi ya jiji na Eneo la Barabara ya Mwendo Kasi lenyewe, kuchukua idadi kubwa ya wafanya biashara wasio rasmi. Miongozo ya maeneo ya vituo, ambayo inaambatana na Mkakati wa Eneo la Barabara, inatambua umuhimu wa wafanyabishara wa mitaani. Miongozo hii inatafuta kuwahusisha wafanyabiashara katika namna iliyopangiliwa kwa kubainisha maeneo mazuri zaidi yanayoweza kuwa na maeneo yenye gharama nafuu ya biashara ya reja reja ndani ya maeneo ya vituo na yale yanayozunguka. Maeneo ya masoko yatakayotolewa katika maeneo mazuri 36 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari KUTOA UBORA WA MAISHA Kukidhi mahitaji kunapaswa kuwa sawia na utoaji wa vifaa mbalimbali vinavyosaidia ustawi wa jamii na ujumuishwaji wa kijamii. Utoaji mzuri wa huduma za kijamii, fursa za ajira na maeneo ya mapumziko ni sehemu za kiini cha Mkakati wa Eneo la Barabara ya Mwendo Kasi. Mkakati wa Maeneo ya Wazi na ya Mapumziko hulenga kuunganisha mtandao wa maeneo ya kijani kibichi na maeneo yaliyo mbele ya bahari na kuongeza thamani yake ya uhusiano wa viumbeanuawai. kupitia ujumuishwaji wa maengesho mapya, viunga na upandaji wa miti ili kuboresha viwango vya maisha vya wakazi wa ndani na wageni. Kiwanja kirefu cha jiji kipendekezwa katika Mto wa Msimbazi, ambacho kitatoa nafasi kubwa inayofikika ya mapumziko na michezo (kupitia Mabasi ya Mwendo Kasi). Maeneo mengine madogo zaidi yamepangwa kuwa katika maeneo yanayozunguka vituo na maeneo yote ya Eneo zuri la umma litakalotolewa katika vituo vyote vya mabasi ya mwendo kasi © jirani, kwani yatakuwa yanaboreshwa kila wakati. Broadway Malyan 1 24 96 4 12 1560 Ha HOSPITALI VITUO VYA SHULE ZA MSINGI VYUO VIPYA NA VIWANJA VYA MAENEO YA WAZI MPYA KUBWA AFYA VIPYA NA ZILIZOBORESHWA VILIVYOBORESHWA MICHEZO VIPYA NA (JUMLA YA ILIYOPO VILIVYOBORESHWA +92 SHULE ZA VILIVYOBORESHWA NA MPYA) +21 DISPENSARI MPYA SEKONDARI ZILIZOBORESHWA Utoaji wa miundombinu ya huduma za kijamii Lenga Uwekezaji unamaanisha kwamba kiasi kikubwa cha fedha Katika maeneo madogo kiasi na yenye msongamano, kutoa kinahudumia idadi ya wa wanaotarajiwa, na kwamba huduma bora za kiwango kikubwa, katika maeneo yaliyo wakazi wote walio katika eneo la barabara wako ndani sehemu nzuri, kuliko kutoa huduma nyingi ndogo ndogo. Hii ya umbali wa kusafiri unaokubalika mpaka maeneo ya huruhusu kuwa na upangaji mzuri wa wafanyakazi, utaratibu huduma bora za kijamii. mzuri wa huduma, na vifaa bora. Kanuni za Msingi zinazoongoza Makakti: Kuongeza Uwekaji wa nguvu na vitu pamoja Uimarishaji na Uboreshaji Kuweka pamoja huduma katika maeneo ambayo yanaruhusu Kuongeza faida zaidi kutoka katika miundombinu ya huduma kuchangia kwa huduma kunakoongeza matumizi yake na iliyopo kupitia uboreshaji badala ya kubadilisha ili kuufanya kupunguza hitaji la kutumia mtaji mkubwa katika kuanzisha uwekezaji kuwa mzuri. huduma nyingine za nyongeza. Hii pia huwezesha kujenga vituo vya mitaani vinavyoeleweka, ambavyo hatimaye Mtawanyo wa kimkakati na Ukuzaji wa Ufikikaji huwavutia watu na kulifanya eneo litambulike. Kuwezesha ufikikaji mzuri kupitia, kadri iwezekanavyo Ufikiwaji wa eneo kubwa kivitendo, kuziweka huduma za kijamii katika njia kuu zinazoingia barabara ya mwendo kasi na kuhakikisha ufikikaji Utawanyaji ulio sawa wa huduma za kijamii kulinagana na salama kwenye huduma hizo kupitia utoaji wa njia za usafiri mahitajai ya kanda mbalimbali ndani ya eneo la barabara. mzuri usiotumia moto (njia za baiskeli na miguu). Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 37 RAMANI YA AFYA NA USTAWI MOROCCO TERMINAL KINONDONI KIMARA TERMINAL KOROGWE KIBO BARUTI BUCHA KONA MWANAMBOKA UBUNGO MAJI UBUNGO TERMINAL MKWAJUNI SHEKILANGO URAFIKI MANZESE TIP TOP ARGENTINA MOROCCO HOTEL MWEMBECHAI KAGERA MAGOMENI USALAMA HOSPITAL MAGOMENI MAPIPA FIRE JANGWANI STATION DIT KISUTU POSTA YA ZAMANI CITY KIVUKONI COUNCIL TERMINAL MSIMBAZI POLICE GEREZANI TERMINAL N Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1- Pendekezo la Eneo la Wazi na Eneo la Mapumziko (Mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) WEKEZA KATIKA ELIMU KWA MUSTAKABALI BORA Mipaka ya Kanda Shule za Misngi Mpya- *m 150 Mbali na Njia ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Kuboresha Shule ya Misngi ya Zamani Shule za Sekondari Mpya- *m 150 Kutoka Katika Njia ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Shule ya Sekondari za Ufundi Mpya - *Iko Manzese Kuboresha Shule ya Sekondari ya Zamani Majengo ya Chuo Kikuu- *m 150 Kutoka Katika Njia ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Kuboresha Majengo ya Chuo Kikuu Kilichopo Kuweka Pamoja Majengo Mapya na ya Zamani N Kituo cha Huduma Mpya za Elimu Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mkakati wa Elimu Kituo cha Huduma za Elimu cha Zamani Uliopendekezwa (Mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) 38 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari NGUVU YA KUPATENGENEZA MAHALI FULANI Mkakati wa Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 unalenga kuweka msingi mpya wa Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. Ufikikaji mpana wa huduma za jamii, ubora na maeneo ya jamii yanayofikika, matumizi-mchanganyiko hutengeneza muundo wa msongamano mzuri na unaofaa, mgawanyo sawa wa nyumba, kuongezeka kwa ajira na huduma vimebuniwa kwa ajili eneo la barabara ya mwendo kasi. Mazingira ya matumizi Miti iliyopangwa kimraba, Vifaa vinavyoweka kivuli, Majengo marefu ili mchanganyiko, samani bora za miti na sehemu za kukaa na vitu kutengeneza vituo yanayotumika na rahisi sehemu zinazovutia vingine vinavyofanya vinavyovutia na kusaidia kufikika kwa miguu kukusanyikia ni lazima mazingira yawe mazuri, usomaji rahisi wa maandishi viwekwe ndani ya eneo la nyakati zote. yaliyoandikwa na utafutaji kituo. wa njia katika maeneo yote ya vituo. Shughuli rasmi za kibiashara zenye msongamano mkubwa hutoa mapato ya kodi ili kuboresha huduma Biashara na F&B husaidia kukusanya watu wengi katika kituo na kukusanya mapato Picha ya mwonekano wa wazo la uboreshaji wa kituo cha Ubungo © Broadway Malyan Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 39 Eneo kubwa muhimu litaboreshwa kwa kuimarisha Kituo cha Ubungo kimetazamwa kama kichocheo muhimu kichocheo cha barabara ya usafiri, kuruhusu faida za kuwa na kielelezo cha Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri na muunganiko ili kuyafikia maeneo yaliyo nje ya maeneo Mijini. Picha ya wmonekano hapa chini inaonyesha baadhi ya vituo. ya malengo na mawazo yaliyo nyuma ya mapendekezo ya uendelezaji. Huduma ya Chakula Majengo yenye matumizi- Vikwazo kwa Usafiri Njia za waenda kwa miguu & vinywaji pembeni mchanganyiko yanatoa wa Mabasi ya Mwendo zinazopita juu kuboreshwa mwa majengo na huduma za kijamii, Kasi kuendelea ubora wake, kuonyesha kuzifanyua njia za fursa za ajira & makazi. kuwepo, kuruhusu mwonekano na maghorofa miguu kutumika. kiasi muafaka cha yaliyoinuka juu sana eneo la umma.. katika eneo la barabara. Kupatikana kwa lifti katika vituo ili kuweka mazingira jumuishi 40 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari UPANGAJI WA USAFIRI CHANGAMANI Huduma ya kiwango cha juu ni msingi wa kivutio kwa watumiaji wa Kulenga watu wanaotembea na si usafiri wa umma kuifanya huduma ifanikiwe na masharti Sambamba ya vyombo vya moto Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini yanayosaidia matumizi ya gari yatazuia kuongezeka kwa mifumo isiyo rasmi ya usafiri, kusaidia kupunguza hatari za kiusalama, kupunguza uchafuzi wa hewa na Maegesho ni sehemu hatimaye gharama za usafiri.. muhimu kwa utembeaji mjini Hii pia ni njia ya kuufanya usafiri wa uuma kuvutia kwa matabaka mbalimbali ya jamii, likiwemo tabaka la kati, ambalo linazidi kuongeza matumizi Panua ufikiwaji wa Mabasi ya magari binafsi kwa ajili ya kukidhi mahitaji yao ya usafiri. Mtandao ya Mwendo Kasi kwa unaopendekezwa wa muunganiko wa barabara ndani ya eneo la Barabara barabara zinazoingia ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 unaweza kufanikiwa kuweka muundo barabara ya mwendo kasi sawa kati ya safari binafsi na pamoja, na kupunguza msongamano wa magari katika mtandao wa barabara. Kufanikishwa kwa lengo hili kutategemea Mtandao wenye maendeleo ya mfumo mzuri wa usafiri wa umma, wa kidarajia na uliunagana mfano wa miraba- fito, inayofanya kazi pamoja ambao unashughulika mahitaji mbalimbali ya usafiri: : kwa kila barabara • Miunganiko mizuri ya usafiri kati ya vivutio muhimu na vituo vya mwisho katika eneo lote muhimu la Awamu 1 ya Mabasi ya Mwendo Kasi. Sisistiza umuhimu mkubwa uliopo katika • Miunganiko ya umbali mfupi ndani ya eneo la jirani usafiri wa miguu na baiskeli katika jiji. • Muungano rahisi wa njia kuu na njia ndogo za usafiri wa umma kupitia muundo wa makutano ya njia nyingi Lengo ni kuweka uwiano wa kiuchumi katika mifumo yote ya usafiri wa aina nyingi, ili kutoa thamani kubwa ya uwekezaji wa taifa. Mtandao mdogo wa BASI LA MWENDO KASI barabara uliopo sasa utaondolewa kwa kuubadilisha ili kuweka kiwango na cha barabara na mahitaji ya usafiri vinavyotarajiwa, na viwango vya mtindo uliofutwa kuweza kuchukua mfumo mkubwa na Mtandao wa Reli Awamu za Mabasi ya Njia Zinazoingia Barabara unaopenya maeneo mbalimbali. Usafiri wa umma Mwendo Kasi KM 5.6 Ya Mwendo Kasi utapanua maeneo yake ya ufikaji, wakati huo huo KM 109 ukipunguza muda wa kusafiri kati vituo vikuu vya KM 87 shughuli mbalimbali. Mfumo mzima wa usafiri utafuata mahitaji ya Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini, ambayo yanahamasisha utumiaji wa usafiri wa umma dhidi ya matumizi ya magari binafsi na mengi madogo yasiyodhibitika. KUHAKIKISHA Lengo la msingi la Mkakati wa Barabara za Mwendo Kasi ni kutumika sana kwa huduma za usafiri wa 80% YA WATU INAFIKIA KWA URAHISI USAFIRI WA umma, ili kuhakikisha kwamba angalau 80% ya watu UMMA wanazifikia njia za usafiri wa umma. Hii inajumuisha km 423 km 202 mfumo fungamani wenye punguzo la bei na wenye ZA BARABARA MPYA NA ZA NJIA ZA USAFIRI WA UMMA ZILIZOBORESHWA barabara kuu zenye uwezo mkubwa, njia nyingi za ziada za mjini, na mtandao wa njia ndogo zinazoingia barabara kuu zinazotumika na kupitika. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 41 KUTENGENEZA MTANDAO MKUBWA Kielelezo Kituo cha Mwisho cha Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Kituo cha Kuingilia Barabara ya Mwendo Kasi Awamu 1 ya Mabasi ya Mwendo Kasi Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Vituo vya Mabasi ya Mwendo Kasi vya Baadae/Vilivyopangwa Vituo vya Barabara Zinazoingia za Baadae Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 Eneo la Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi za Baadae Barabara Zinazoingia Reli N Kivuko Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mtandao wa Usafiri wa Umma Uliokwishatekelezwa (Mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) Kufanikisha muunganiko na ufikikaji mzuri Shughuli nyingi zinazoendelea/zilizopangwa zimejumuishwa ndani ya Mkakati wa Uunganishaji: • Uboreshaji wa Makutano ya Barabara katika Barabara ya Morogoro ya Ubungo, Magomeni, Morocco, United Nations na Fire • Muungano wa njia wa Haraka haraka: mfumo wa barabara za Barabara za mitaa zilizopendekezwa katika Awamu 1 ya mzunguko Barabara za Mabasi ya Mwendo Kasi • Maboresho ya barabara za DMDP: Barabara ya Kimara-Kibaha, Barabara ya Mwai Kibaki na Barabara Mpya ya Bagamoyo zitapanuliwa na kukarabatiwa pamoja na ujenzi wa barabara nyingine nyingi za mitaa ili kurahisisha ufikikaji wa maeneo ya mitaa ya jirani • Awamu zinazofuata za Mabasi ya Mwendo Kasi na barabara zinazohusiana zinazoingia Zaidi ya ujenzi huu, usongamanishaji na ubuniji wa mtandao utajumuisha: Barabara zilizopendekezwa kwa Mabasi ya yaendayo kwa • Upanuzi wa barabara za ndani za: kaskazini-kusini/mashariki- haraka awamu ya 1 magharibi ili kuondoa vitengenishi vya muunganiko wa barabara, na wakati huo huo kuondoa msongamano katika Barabara za Morogoro, Nelson Mandela, Sam Nujoma, Kawawa, Kigogo na Bagamoyo • Kuusongamanisha mtandao wa barabara za mitaani, kwa kuziboresha barabara nyingi za mitaa ya ndani na kuondoa nafasi ambazo zinaingilia mtandao ili kutengeneza mfumo mzuri wa mtandao • Upangaliaji mzuri wa makutano ya barabara, utapatikana kupitia Barabara za juu zilizopendekezwa kwa Mabasi ya yaendayo ujengaji wa mitaa ya huduma katika barabara za mitaa kwa haraka awamu ya 1 42 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari NGUVU ZA KUKUBORESHA USAFIRI WA MABASI YA MMWENDO KASI . Kukamilika kwa mtandao wa Usafiri wa NJIA ZINAZOINGIA BARABARA KUBWA YA MTAA YENYE MITI Mabasi ya Mwendo Kasi wa Dar es Salaam utakuwa ni mfumo imara unaotoa usafri ndani ya eneo kubwa la sehemu za wakazi BRT wake na shughuli zake mbalimbali. Baada ya muda fulani usafiri huu utatoa ushindani mkubwa kati ya maeneo ya vituo katika kuvutia uwekezaji mpya na shughuli za maendeo ya kibisahara. Mtindo muhimu BRT wa barabara za usafiri wenye vitu vingi utakuwa kichocheo cha msongamano, muundo wenye ubora wa hali ya juu wa mji. Barabara zilzioboreshwa, utoaji wa huduma bora za usafiri wa umma na miundombinu ya huduma za kijamiii vitakuwa kiunzi cha uboreshaji wa NJIA YA MABASI YA MWENDO KASI maendeleo. Ramani mageuzi ya vituo Mabadiliko ya ziada ya eneo la vituo dhahania vya wilaya (See: Station Typology Guidelines Volume) Matumizi ya sasa Muunganiko wa mtandao Eneo la Wazi Hakuna ufikaji wa moja kwa moja wa magari kutoka Sehemu ya biashara katika eneo la barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi BARABARA YA MABASI YA MWENDO KASI Muunganiko wa njia ya miguu BAR Shughuli za a YA ABAR i M A uboreshaji ng MW ABAS oi EN I ay DO YA In KA S u I Ku a Se b ar i rvic d Mr a a eL ar an a neo l B e Lo Upanuzi wa Njia m 50 0 E ca lT ran Zinazoingia se ct Ro ute Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 43 Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Muundo wa Eneo la Vituo na utabakishaji kulingana na umuhimu wa kuboresha (mchoro wa ufafanuzi, hauko kwenye vipimo) C 06 D G E 26 28 31 G G G 30 G 29 20 E 27 13 21 17 F 23 F 19 E 16 F 22 18 F 25 F 24 F E 10 15 12 03 Kielelezo 09 Mipaka ya eneo la Utafiti 32 B 07 B Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 02 A Mtindo wa CBD Mtindo wa Kituo cha Wilaya 05 B 08 01 A 14 A CBD - Biashara Mtindo wa Kituo cha Huduma 11 C B CBD - Makazi Mtindo wa Usafiri wa Maeneo ya Karibu Karibu A Muundo wa Eneo Linalokutanisha watu na Shughuli 04 C Mbalimbali E Usafiri wa Maeneo ya Jirani- Ulioimarishwa C Sehemu Yenye geti - Katikati ya jiji F Usafiri wa Maeneo ya Jirani - Mdogo D Sehemu Yenye geti - Pembezoni mwa jiji G Usafiri wa Maeneo ya Jirani - Mji Mdogo TVituo vimepewa namba hapa chini kulingana na matabaka yake katika mpangilio wa namba za TOD Vilivyokua Vinavyoibukia Vichanga 01 Msimbazi Polisi 08 Halmashauri ya Jiji 15 Mwembechai 20 Kibo 27 Baruti 02 DIT 09 Magomeni Mapipa 16 Urafiki 21 Mwanamboka 28 Kimara Mwisho 03 Magomeni Hospitali 10 Morocco Hoteli 17 Ubungo Terminal 22 Argentina 29 Kona 04 Gerezani Mwisho 11 Posta ya Zamani 18 Manzese 23 Shekilango 30 Bucha 05 Kisutu 12 Usalama 19 Mkwajuni 24 Kagera 31 Korogwe 06 Morocco Mwisho 13 Ubungo Maji 25 Tip Top 32 Jangwani 07 Kituo cha Fire 14 Kivukoni Mwisho 26 Kinondoni KUOANUA MTANDAO WA USAFIRI WA MABASI YA MWENDO KASI Makubwa zaidi yanakuja Mwaka huu Awamu 1 ya Mabasi ya Mwendo Kasi itaogeza nguvu yake mara mbili ikiwa na barabara nyingi zinazoingia na mabasi mapya. Baada ya Awamu hii Awamu 2 itaunganisha Barabara ya Kilwa. Awamu 3 itaunganisha Buguruni na kuchoche maendeleo mapya katika uwanja wa ndege uliopanuliwa. Awamu 4 itapanuka kuelekea kaskazini katika Barabara ya Bagamoyo na kutoka Mikocheni mpaka Ubungo. Awamu 5 na 6 zitaimarisha mtandao ili kulipanua eneo la kati la jiji la Dar es Salaam kujipanua kuelekea nje ya mji, ili kuendana na ukuaji mpya wa maendeleo yenye msongamano katika kuungana na programu za Mchoro: (kushoto) Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kasi, Awamu 1-5, Dar es Salaam 2017/ (kulia) Data za uendeshaji upanuzi wa bandari na uwanja wa ndege. Uasifir wa Manasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 (na MIC). 44 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Orahisishwa kwa ajili ya watu wote Miundombinu ina nafasi kubwa muhimu ya kufanya katika kufanikisha Mkakati wa Barabara za Mwendo Kasi. Ni muhimu ikazingatiwa kwamba uwekaji na uanzishaji wa miundombinu ufuate mtindo fungamani. Viwano vilivyoboreshwa vya huduma: maji kwa wote, mabomba ya majitaka na umeme, viwango vya huduma zilizoboreshwa vimetarajiwa, ambavyo vinakuja na mahitaji makubwa ya huduma za kijamii kwa kila mtu. Hali hii, ikiunganishwa na ongezeko la wingi wa idadi ya watu katika eneo la barabara za mwendo kasi, ina athari kubwa katika utoaji wa huduma kubwa za kijamii ndani ya eneo la utafiti. Maji: Maji ya Mvua: • Ramani iliyopo ya DAWASCO inahitaji kuingizwa kwa • Imependekezwa kwamba Mifumo ya Mifereji ya Maji ya umakini sana katika dara ya Eneo la Barabara ya Kudumu itekelezwe katika ngazi zote mbili, ngazi ya kila Mwendo Kasi na mapendekezo ya maji pamoja na kiwanja na mkoa mzima ili kuondoa tatizo la mafuriko mabomba ya maji taka yawekwe kama sehemu ya ambalo hujitokeza jijini Dar es Salaam. mkakati huu. • Mfumo huo unahitaji uwezo wa taasisi kuhakikisha • Mabadiliko katika muundo wa mji yatahitaji uwekaji wa kwamba mipango ya kuujenga imeshughulikia tataizo la sehemu mpya za mtandao wa usambazaji wa maji, pamoja upungufu wa ubora wa mitaro na kwamba mpango wa na kuongezeka kwa ukubwa wa mtandao uliopendekezwa usimamizi wa mifereji ya maji ya mvua katika eneo pana na kuboreshwa hifadhi muhimu za maji, kwa kiasi cha la barabara ya mwendo kasi unawekwa na kuboreshwa kuzidisha mara nne uwezo ulipo sasa. kila wakati. • Ramani ya hatari za mafuriko inaonyesha maeneo ndani Majitaka: ya Barabara ya Mwendo Kasi Awamu 1 ambayo yanahitaji • Inapendekezwa kwamba kazi ya kuyatibu majitaka kuhifadhiwa ili kuruhusu njia za asili za maji kupitisha maji ya Jangwani kwa hapo baadae zifanyikie Kusini mwa na matukio ya kujaa maji kutokea, bila kuathiri makazi ya Barabara ya Morogoro, ili kulifungua eneo la sasa liweze watu. kuingizwa katika pendekezo la eneo la mjini lenye kijani kibichi. Taka ngumu: • Inapendekezwa kwamba kazi mpya za kuyatibu majitaka • Mapendekezo yametolewa kwa ajili ya vifaa zitekelezwe katika eneo la Chuo Kikuu, ili kuihudumia vinavyohamishika vya Barabara ya Mwendo Kasi, kwa sehemu ya magharibi mwa eneo la barabara ya mwendo shabaha kuwa katika vituo vya kukusanyia taka kutoka kasi, kwani hakuna mpango wa bomba la majitaka katika jamii kwa ajili ya kukusanyia, kuchambua na uliopo sasa. kuzingusha tena taka hizo. Umeme: • Mpango-ngazi wa taka uliopendekezwa wa kupunguza, kutumia tena, kuzungusha, kutengeneza upya na • Vituo vidogo 12-vipya vya umeme wa MVA 80 kutekekeza kabisa huhitaji kufuatwa ili kuondoa vimependekezwa ili kutoa huduma ya umeme katika changamoto ya takangumu katika eneo la barabara ya eneo lote ndani ya barabara ya mwendo kasi. mwendo kasi. • Nyaya mpya za kuingia/kutoka kV 132 za juu zitahitajika kusambaza umeme katika vituo hivi vidogo, pamoja na Ulinzi wa ardhi: kuboresha vituo vidogo vya umeme vilivyopo. Mipango inapaswa kuanzishwa kuhakikisha kuwa ardhi inalindwa kwa ajili ya hifadhi ya upanuzi wa baadae, vituo vidogo vya umeme na kazi za kuyatibu majitaka. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 45 Kasi Awamu 1 - Eneo Kituo cha Pampu Bomba Ubadilishaji wa Mabwawa ya Kazi za lilipendekezwa kwa ajili ya Kilichopendekezwa Linalopandisha Maji Kuyatibu Majitaka Uliopendekezwa Kazi za Kuyatibu Majitaka Sehemu ya Kazi ya ya Jangwani & ukubwa wa Kuyatibu Majitaka Kituo cha Pampu mtandao wa kuyasafirisha, MOROCCO TERMINAL Kilichopendekezwa na Kazi za Kuyatibu Majitaka zinazotarajiwa baadae (Mchoro wa KIMARA TERMINAL KOROGWE KINONDONI ufafanuzi, hauko kwenye KONA BUCHA BARUTI UBUNGO TERMINAL MWANAMBOKA KIBO vipimo) UBUNGO MAJI SHEKILANGO MKWAJUNI TIP TOP Eneo Ambalo URAFIKI ARGENTINA Halihudumiwi na Zoezi MANZESE MWEMBECHAI MOROCCO HOTEL Lililopendekezwa MAGOMENI KAGERA HOSPITAL la Kutibu Maji Taka USALAMA Kazi za Kuyatibu ya Jangwani: MAGOMENI MAPIPA JANGWANI FIRE STATION Majitaka ya Jangwani 1. Kuendelea na matenki DIT KISUTU ya kuhifadhia maji/ MSIMBAZI POLICE POSTA YA mtindo wa vyoo vya ZAMANI CITY KIVUKONI GEREZANI COUNCIL TERMINAL mashimo TERMINAL 2. Kuanzisha mtandao wa kusafirisha majitaka kwa Kazi mpya za Kutibu Kazi za Kuyatibu Mabwawa Majitaka ya maji taka ya Ubungo Jangwani Barabara ya Mabasi ya Mwendo kasi Awamu 1 Kituo Kipya Mitandao ya Umeme 80 MVA MOROCCO Iliyopendekezwa (Mchoro TERMINAL Kituo Kipya wa ufafanuzi, hauko kwenye 80 MVA Kituo Kipya Kituo Kipya 80 MVA 80 MVA vipimo) KOROGWE KINONDONI KIMARA TERMINAL KONA Kituo cha Ubungo Kilichopo BUCHA BARUTI UBUNGO MWANAMBOKA Kituo Kipya Kituo Kipya KIBO TERMINAL 80 MVA 80 MVA UBUNGO MAJI SHEKILANGO Kituo Kipya 80 MVA Kituo Kipya MKWAJUNI TIP TOP 80 MVA Kituo Kipya URAFIKI ARGENTINA 80 MVA MANZESE MOROCCO MWEMBECHAI HOTEL Kituo Kipya MAGOMENI 80 MVA KAGERA HOSPITAL Kituo Kipya USALAMA Kituo Kipya 80 MVA MAGOMENI 80 MVA MAPIPA JANGWANI FIRE STATION DIT KISUTU MSIMBAZI POLICE POSTA YA Kituo Kipya Kielelezo ZAMANI 80 MVA CITY KIVUKONI TERMINAL GEREZANI COUNCIL TERMINAL Mtandao Uliopo wa kV 132 Mtandao Mpya wa kV 132 Kituo Kipya 80 MVA Mtandao Uliopo wa kV 220 Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Mkakati wa Majitaka Uliopendekezwa (Mchoro MOROCCO wa Ufafanuzi, hauko TERMINAL kwenye vipimo) KOROGWE KINONDONI KIMARA TERMINAL KONA BUCHA BARUTI UBUNGO TERMINAL MWANAMBOKA KIBO UBUNGO SHEKILANGO MAJI MKWAJUNI TIP TOP URAFIKI ARGENTINA MANZESE MOROCCO MWEMBECHAI HOTEL MAGOMENI KAGERA HOSPITAL USALAMA MAGOMENI MAPIPA JANGWANI FIRE STATION DIT KISUTU MSIMBAZI POLICE POSTA YA ZAMANI CITY KIVUKONI GEREZANI COUNCIL TERMINAL TERMINAL Kielelezo Vituo vya Kukusanyia Vilivyopo Kituo cha Kuhamishia Kilichopendekezwa 46 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari KUUWEKA UTEKELEZAJI KATIKA AWAMU Kielelezo Awamu 1A (Eneo Lenye Kipaumbele) Awamu 1A (Eneo Wezeshi) Phase 1B (Eneo Lenye Kipaumbele) Awamu 1B (Eneo Wezeshi) Eneo la Awamu 2 Eneo la Awamu 3 Eneo la Awamu 4 Eneo la Awamu 5 Eneo la Awamu 6 N Eneo Nje ya Barabara za Mabasi ya Mwendo Kasi Wakati ambapo lengo la Mkakati wa Maendeleo ya Barabara majitaka, usimamizi wa takataka, usafiri, usimamizi wa mitaa za Mwendo Kasi litakuwa ni kuleta mabadiliko makubwa na huduma za kijamii (afya na elimu). Utoaji wa huduma hizi ndani ya eneo la utafiti, eneo la mradi ni kubwa sana kwa za miundombinu na huduma za kijamii huweza kusimamiwa uwezo ambao mamlaka za mitaa zinao kwa sasa kulimudu. na mamlaka husika - kama vile Shirika la Maendeleo lenye Mipango ya awamu za Mkakati wa Maendeleo ya Barabara dhamana, Manispaa au mamlaka nyingine. za Mwendo Kasi unabainisha maeneo yenye kipaumbele ‘Maeneo Wezeshi’ hutoa huduma za miundombinu kuhudumia ambapo uboreshaji wa kujihami unatakiwa katika kutekeleza mahitaji ya jumla ya maendeleo mapya ya msongamano mapendekezo ya Mkakati huo. mkubwa katika maeneo ya barabara ya mwendo kasi ili kukidhi Awamu 1 ya uendelezaji wa barabara ya mwendo kasi mahitaji ya Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. Hii imegawanywa katika vipande vipande vingi kuliko zilivyo italenga katika utoaji wa huduma ya umeme, maji na huduma awamu za baadae ambazo zitafanyika baada ya njia za za usafi katika njia yote, ili kuhakikisha kwamba maeneo yote Mabasi ya Mwendo Kasi za baadae kujengwa. Awamu 1 yanapata na kutumia huduma hizi na kuweza kumudu kiwango inajumuisha awamu ndogo 2 ambazo zimeainishwa zaidi kikubwa cha msongamano kuliko ilivyo kwa sasa. kama Maeneo ya ‘Kipaumbele’ na ‘Wezeshi’. Kwa pamoja yanajulikana kama Maeneo ‘Lengwa’ ya Awamu. 1 ‘Maeneo yenye Kipaumbele’ ni maeneo muhimu yaliyobainishwa kwa ajili ya uwekezaji wa sasa ili kuwezesha uboreshaji wa haraka. Maeneo haya yanayohusishwa na vituo vikuu na maeneo ya vituo vya mwisho yamechukuliwa kuwa tayari yana umuhimu katika maendeleo, kwani Awamu 1A - Eneo Lenye Kipaumbele sehemu zenye huduma zinazopatikana na kufikika ziko Awamu 1A - Eneo Wezeshi karibu zaidi ili kusaidia Maendeleo Yanayofungamana na Eneo la Uendelezaji wa Mkakati wa Maendeleo Usafiri Mijini. Vituo vya maendeleo vinaweza kufanikishwa wa Barabara ya Mwendo Kasi kwa kutoa kipaumbele katika usambazaji wa maji, umeme, Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 47 MAMBO YANAYOSHUGHULIKIWA NA MRADI JAMBO 3 LA MRADI UBORESHAJI WA JAMBO 5 LA MRADI MANZESE KITUO CHA MOROCCO JAMBO 1 LA MRADI MTAA WA JAMBO 4 LA ENEO LA MRADI KARIBU NA SEHEMU YA PILI BAHARI YA KATIKATI YA JIJI UBUNGO JAMBO 2 LA JAMBO 7 LA MRADI MRADI WILAYA YA WILAYA YA MAGOMENI MAGOMENI JAMBO 6 LA MRADI KITUO CHA KUBADILISHIA NJIA YA USAFIRI Nafasi ya Mmambo Yanayoshughukiwa na Mradi Mmabo Yanayoshughulikiwa na Mradi yaliyochaguliwa 3. Uboreshaji wa Manzese - Kuweka misingi ya uboreshaji yanalenga kuwa vichocheo vya mabadiliko. Yalichaguliwa katika jamii hizi zilizobanana kwa kuboresha ufikikaji na kulingana na umuhimu wake mkubwa na mahali huduma za kijamii, kuboresha mitaa na taa za mitaani. yanapopatikana katika eneo la barabara ya mwendo kasi, Establishing anchors for regeneration in these tightly knit and uwezo wa kutoa matokeo mazuri, ugumu wa umiliki wa established communities with improved access and amenities, ardhi na uwezo wa kuyashughulikia malengo mbalimbali ya improved frontages and street lighting. Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi. Miradi wa 4. Mjini-kati pa pili Ubungo - Kuanzisha sehemu ya mjini-kati Majaribio hazitakuwa shughuli za uendelezaji tu zinazoendelea jitihada ya kupunguza msongamano kwa kuunda mjini-kati pa sasa ndani ya eneo la barabara ya mwendo kasi, awamu pili panapotoa huduma mbalimbali na matumizi ya ardhi. zake zitazingatia pia vigezo mbalimbali. Hata hivyo, zitakuwa ni ‘miradi inayochochea mabadiliko makubwa’ katika jiji, 6. Kituo cha Kibiashara cha Gerezani - Kuongeza umuhimu mazingira ya Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini. wa sehemu ya makusanyiko makubwa ya jiji pale Gerezani kwa kukifanya kituo kuwa na msongamano na matumizi- 1. Eneo la Karibu na Bahari - Kutengeneza mazingira ya eneo mchanganyiko bora. la mbele ya bahari kuwa na hadhi ya jiji la kimataifa na sehemu bora ya eneo kubwa la starehe katika ukanda huu 7. Bonde la Msimbazi - ndio eneo pekee la wazi lililoko mjini, kwa sasa hivi linafikiwa na mtandao wa usafiri wa umma. 2. Wilaya ya Magomeni - Huwezesha jamii kubwa imara ya Usafiri wa mabasi yaendayo kwa haraka unawezesha kufikiwa mjini katika mpaka wa eneo la katikati ya jiji la Dar es Salaam kwa eneo hili na idadi kubwa ya watu katika jiji la Dar es Salaam. Mapendekezo ya eneo hili kuwa bustani ya jiji yana faida kwa maana ya kupunguza mjanga ya mafuriko na kuzuia ujenzi wa makazi hatarishi kwenye eneo hili. 48 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Picha ya mwonekano wa kituo cha pili cha Ubungo - Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 © Broadway Malyan Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 49 SHUGHULI ZILIZOPENDEKEZWA Shugkumi na mbili zilizopendekezwa zimewekwa katika muhtasari ili kuendeleza mkakati na kuongeza barabara. Katika kila shughuli alama muhimu imepewa jina, ambayo inaweza kubeba jukumu la kuifanya shghuli hiyo. Kila moja hutofautiana katika uwezekano wa kuifanya na ugumu. Shguli ya kwanza inahusiana na upangaji, kufuatiwa na programu za kifedha na misaada kwa upande wa tatu, na kuishia na miradi halisi ambayo hutumia kanuni za Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi katika maeneo yenye umuhimu. 50 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 01 PROGRAMU YA MAFUNZO YA MKAKATI WA MAENDELEO YA BARABARA YA MWENDO KASI MKAKATI WA MAENDELEO YA BARABARA YA MWENDO KASI NI NINI? • Programu changamani ya mafunzo inayoendeshwa na DCC juu ya jinsi ya kutumia Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi • Husaidia kubainisha jinsi ya kutumia Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi katika kuendeleza barabara. MAFUNZO HAYA YANAPASWA KUTOLEWA WAPI? • Katika ofosi za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Chuo Kikuu, katika Ofisi za Manispaa. MAFUNZO YANAPASWA KUENDESHWA VIPI? • Nyaraka za Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi zinasambazwa kwa taasisi zinazofadhili mradi ambazo huziwakilisha kwa wafanyakazi wao wanaohusika • Wafadhili wanapanga muda na mahali pa kutolea nyaraka na mafunzo ya awali kwa wafanyakazi • Vipindi ikiwa ni pamoja na majaribio ili kuwaonyesha kama wanaopatiwa mafunzo wameelewa . NANI WANAPASWA KUPATIWA MAFUNZO ? • Maafisa Mipango na watumishi wa Halmashauri • Watumishi wa Taasisi za Serikali, Shirika la Nyumba na Taifa, na Mifuko ya hifadhi ya jamiii • Mamlaka za kisheria zinazohusika na huduma za jamii na usafiri • Wawekezaji, wamiliki wa ardhi na wataalamu wa sekta ya nyumba na ardhi. MAFUNZO YANAPASWA KUANDALIWA LINI? • Wakati wa kuanza mradi mwaka 2018 baada ya Mkakati wa Maendleo ya Barabara za Mwendo Kasi kuzinduliwa. KWANINI MAFUNZO YA MKAKATI WA MAENDELEO YA BARABARA ZA MWENDO KASI NI MUHIMU? • Kuweka msingi wa kanuni za Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini na kutafakari juu mifumo ya udhibiti wa mipango miji iliyopo • Kuamsha uelewa wa umuhimu na malengo ya Maendeleo ya Barabarab za Mwendo Kasi • Kuhakikisha kuwa kuna utaratibu sawa wa jinsi zana zinavyotumika na kutumiwa • Kupata thamani bora kutoka katika uwekezaji wa awali na mpya wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendo Kas • Kuhakikisha kuwa jiji linaboreshwa kulingana na viwango vilivyokubaliwa • Huduma hii inaweza kupanuliwa na kukuzwa katika mawanda yake kwa kpindi cha miaka 15 ijayo. Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 51 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 02 KUWEKA (KUBORESHA) MIPANGO MIPYA YA NDANI MIPANGO MIPYA YA NDANI NI NINI? • Mpango mdogo wa eneo unaweza kuwa wa uendelezaji upya wa eneo, mpango wa kina au mpango mwingine uliodhinishwa. • Mipango midogo ya maeneo itaongozwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana kwa karibu na Halmashauri ya Manispaa husika. • Mipango ya Ndani inawekwa katika kiwango cha taarifa za kina zaidi kuliko Makakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi • Taarifa kubwa ya maendeleo yatokanayo na mundombinu ya usafiri imeainisha maeneo nane ya kipaumbele kwa mipango iliyoboreshwa lakini inaweza kutekelezwa pale tu maeneo haya yayakapokuwa yametangazwa kama maeneo ya mapango maalum • Mipango ya Ndani inapaswa kusoma sambamba na Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi wa ngazi ya juu • Hutumika kutathiminia maombi ya viwanja vingi au kimoja • Ni marejeo ya msingi ya baadae kwa maofisa wa udhibiti wa upangaji MIPANGO YA NDANI INAPASWA KUFANYWA KWA AJILI YA MAENEO GANI? • Mpango wa undelezaji wa ukanda wa mabasi umeainisha maeneo nane ambayo ni Gerezani, Ubungo, Jangwani, Magomeni, Moroco, Manzese, Kimara, na Kivukoni • Kila moja lazima liwe na Mipango yake ya Ndani • Masuala ya uratibu yanashughulikiwa kupitia Makakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi NI KWA JINSI GANI MIPANGO YA NDANI INAWEZA KUTEKELEZWA? • Kuthibitisha mipaka, eneo, mchakato wa kuandaa mpango, ufuataji na hali ya sheria • Kujenga katika muktadha wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi. NINI ANAPASWA KUHUSISHWA KATIKA MIPANGO YA NDANI? • Huratibiwa na DCC • Hufanywa kwa ushirikiano na Manispaa husika • Jitihada na nguvu za wadau wote/upande wenye raghba MIPANGO YA NDANI IANDALIWE LINI? • Baada ya uzinduzi wa Mkakati wa Maendeleo ya Barabara ya Mwendo Kasi • Kwa mfuatano, kuaniz aeneo ambalo limechukuliwa kuwa ni kipaumbele cha kwanza KWA NINI MIPANGO YA NDANAI NI MUHIMU? • Hutumia kanuni za Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini katika eneo ili kufuata mifumo ya sasa ya udhibiti wa mipango miji • Kuweka viwango vya upangaji wa Maendeleo Yanayofungamana na Usafiri Mijini kama msingi wa maombi yote • Kuhakikisha kuwa maendeleo ya jiji yanafikia viwango vilivyobainishwa • Huruhusu mamlaka za Jiji na Manispaa kuwezesha na kusimamia kila sehemu ya barabara • Kuongeza faida za mapato ya ardhi na mapato mengine na faida. 52 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 03 MTAZAMO WA HUDUMA NA PROGRAMU YA MIUNDOMBINU NINI MAANA YA PROGRAMU YA ENEO LENGWA WEZESHI? • Shughuli inafanya ufikiwaji wa huduma muhimu na huduma za kijamii kuandaa ardhi katika njia ya Mabasi ya Mwendo Kasi ili kuendelezwa kikamilifu • Usafi, umeme, maji, mitaro, taa za mitaani, usafiri, afya, elimu, ajira, maegesho • Lengo kuu ni kuongeza kiwango hiki cha utoaji wa huduma katika eneo lote la Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 • Utoaji wa huduma nyingi kwa kuanzia vituo muhimu vilivyopewa kipaumbele ili kuwezesha maendeleo mbalimbali makubwa. ENEO LENGWA LIKO WAPI? • Maeneo haya yako pande zote mbili za urefu wa Barabara ya Mwendo Kasi Awamu 1 • KVituo vikuu vya njia ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 - Downtown, Gerezani, Magomeni, Morocco and Ubungo. • Mwelekeo mwingine wa eneo lengwa la pili utachukua mipaka ya barabara ya mwendo kasi na vituo vyenye umuhimu zaidi • Mwisho kabisa kupanuliwa katika Barabara nzima ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 na maeneo yanayofuatia. PROGRAMU YA ENEO LENGWA WEZESHI ITATOLEWAJE? KWANI PROGRAMU YA ENEO LENGWA • Uratibu wa waendeshaji na idara za Halmashauri/ Manispaa ya WEZESHI NI LA MUHIMU? Jiji la Dar • Kulenga kwenye uzibaji wa nyufa za mianya ya huduma na • Hutoa uwezo wa maendeleo mapya maeneo yenye mahitaji katika maeneo yaliyotiliwa kipaumbele makubwa karibu na barabara ya Mabasi ya • PPP kwa miundombinu ya miradi mikubwa ua iliyounganishwa. Mwendo Kasi • Hutoa kiunzi cha ujenzi na uboreshaji wa NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? miji unaoendelea sasa • Halimashauri na Manispaa za Jiji la Dar • Huvutia uwekezaji wa ndani • Watoa huduma za jamii, huduma za afya na elimu • Inaboresha mbinu hii muhimu ya barabara za mwendo kasi ili kuleta mabadiliko ya ITAANZA LINI? kimageuzi katika jiji zima • Baadhi ya maeneo tayari imeanza na mengine inakaribia kuanza • Hutoa maeneo ya awali kwa waendelezaji • Mika 4 kupanga na kuyahudumia maeneo ya vituo vya kuwekeza kipaumbele • Hii itatoa mchango wa ongezeko la • Kuanzisha programu ya utoaji huduma kubwa katika maeneo thamani ya ardhi katika miundombinu, mengine nyumba, huduma za jamii na kodi ya • Ugawanyaji wa huduma zinazoendelea mapato Kielelezo Eneo Lengwa la Awamu 1A Eneo la Uendelezaji Mradi wa Mkakati wa Maedneleo ya Barabara za Mwendo Kasi na Eneo Lengwa Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 53 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 04 UKUSANYAJI WA ARDHI UKUSANYAJI WA ARDHI NI NINI? • Ukusanyaji pamoja wa umiliki wa ardhi ili kuweza kubeba maendeleo ya gharama kubwa UKUSANYAJI WA ARDHI UNATOKEA WAPI? • Mahali ambapo eneo linaweza kuboreshwa kwa ajili ya faida ya wamiliki • Ardhi nzuri ni ile rahisi, karibu na njia za Mabasi ya Mwendo Kasi na Makutano ya barabara NI KWA NAMNA GANI UKUSANYAJI WA ARDHI UTAHAMASISHWA? • Utaratibiwa na Manispaa kupitia vikundi vya kijamii na shughuli za utangazaji biashara NANI WANAPASWA KUKUSANYA ARDHI YAO? • Wamiliki wa maeneo ya uendelezaji, wamiliki wa nyumba na maeneo, mashairika ya umma na binafsi yenye ardhi LINI ARDHI INAWEZA KUKUSANYWA? • Ukusanyaji wa ardhi unaweza kupangwa na kujadiliwa kabla ununuzi rasmi haujaanza • Baada ya kukusanywa inaweza kuendelezwa na kisha kuuzwa au kukodishwa. KWANINI UKUSANYAJI WA ARDHI NI MUHIMU • Hii ni njia ya wazi na ya haki ya kuendeleza na kuboresha maeneo ya mijini • Inasaidia uendelezaji wa maeneo yaliyo katika umiliki wa ardhi wa watu wengi kwa kuwaruhusu wale wanaoimiliki kutafuta suluhisho lao la kibiashara • Ukusanyaji wa ardhi unaongeza thamani ya ardhi na kuyafanya maeneo yavutie zaidi uwekezaji na mabadiliko ya uboreshaji • Inasaidia kupeleka fedha katika maeneo yenye uhitaji ili kukuza uchumi na kuongeza mapato. FAR 3.0 FAR 5.4 FAR 5.5 FAR FAR 4.1 5.2 FAR 6.5 Ramani ya viwanja vilivyopo FAR 0.55 Ramani ya viwanja iliyopendekezwa yenye FAR (kupitia mbinu ya ukusanyaji wa ardhi) 54 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 05 UUNGANISHAJI WA ARDHI YA UMMA NINI MAANA YA UUNGANISHAJI WA ARDHI YA UMMA? • Ukusanyaji wa kimkakati wa mali nyingi za sekta ya umma • Kufanya kazi kuweka ubora wa kiutendaji • Maendeleo makubwa katika sehemu ndogo ili kutoa huduma bora na na kupata ardhi ya ziada kwa ajili ya uendelezaji mpya • Kukusanya risiti za mapato UUNGANISHAJI HUU UNAWEZA KULENGA WAPI?? • Maeneo ya miji mikubwa ambayo hayajatumia ipasavyo katika eneo la barabara ya mwendo kasi • Maeneo yatakayoachwa wazi kwa ajili ya kuhamishiwa Dodoma NI KWA JINSI GANI ARDHI ITAUNGANISHWA? NI LINI ARDHI INAPASWA KUUNGANISHWA? • Kulingana na sifa ya thamani ya ardhi • Unaendelea katika eneo lote la barabara ya mwendokasi • Maeneo yaliyoonekana kuwa yanafaa kuendelezwa kulingana na awamu upya yaliyokusanywa • Kuendana na “Programu ya Uendelezaji Mji Mkuu wa • Maeneo yaliyokusanywa yaliyopangiwa kutumika / Dododma” kupangishwa kulingana na vipaumbele vya Mkakati wa Maendeleo ya Barabara za Mwendo Kasi KWANINI UUNGANISHAJI WA ARDHI YA UMMA NI MUHIMU? • Huweka wazi maeneo kwa ajili uendelezaji wa kimageuzit NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • Ni kichocheo cha programu za usasa • OR-TAMISEMI • Halmashauri ya Jiji la Dar • Ni utendaji bora zaidi wa Serikali • Manispaa • Uendelezaji unazalisha mtaji mkubwa na kuingiza mapato yanayoweza kuwekezwa tena katika kutoa huduma na huduma nyingine za kijamii • Huweza kusaidia katika malengo ya ugawaji wa majukumu . UNIVERSITY LAND UBUNGO MAGOMENI MOROCCO MOROCCO TERMINAL KINONDONI KIMARA TERMINAL KOROGWE KIBO BARUTI BUCHA KONA MWANAMBOKA UBUNGO MAJI UBUNGO TERMINAL MKWAJUNI SHEKILANGO URAFIKI MANZESE TIP TOP ARGENTINA MOROCCO HOTEL MWEMBECHAI KAGERA MAGOMENI USALAMA HOSPITAL Kielelezo MAGOMENI MAPIPA FIRE Barabara ya Mabasi ya Mwendo Kasi Awamu 1 JANGWANI STATION DIT Barabara Zenye Fursa KISUTU Eneo Lenye Fursa POSTA YA ZAMANI CITY KIVUKONI COUNCIL TERMINAL MSIMBAZI POLICE Maeneo Yenye Umuhimu Mkubwa wa Maendeleo GEREZANI TERMINAL Maeneo Yenye Umuhimu wa kati wa Maendeleo Maeneo Yenye Umuhimu wa muda Mrefu wa Maendeleo Umiliki wa Ardhi Eneo Lisilo na Msongamano Lenye Umuhimu Mkubwa Halijajengwa Maeneo Mengi GEREZANI KIGAMBONI Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 55 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 06 MIRADI YA MAJARIBIO YA NYUMBA ZA GHARAMA YA CHINI MIRADI YA MAJARIBIO YA NYUMBA ZA GHARAMA YA CHINI NI NINI? • Jaribio la mbinu tofauti tofauti za kutoa nyumba zenye gharama ya chini • Mitindo bora zaidi ilitumika kwa ajili vipimo vya barabara ya mwendo kasi inayofuatia MAJARIBIO YANAWEZA KUFANYIWA WAPI? • Kiwango cha maeneo yenye kipaumbele (mapaka maeneo 8) katika eneo la barabara ya mwendo kasi. MAJARIBIO YATAENDELEZWAJE? • Ytatolewa kupitia uendelezaji binafsi, ukusanyaji wa ardhi, ufadhili wa umma, misaada ya uboreshaji NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • Shirika la Nyumba la Taifa • Kwa ubia na Manispaa na mnyororo wa usambazaji MAJARIBIO YATAPANGWA LINI? • Kuanzia mwaka 2019 • Miaka 2-5 ya kupanga na kujenga • Mwaka 1 kupitia na kutathimini • Kuanzishwa kama programu rasmi kuanzia mwaka mmoja KWANINI MISAADA YA UBORESHAJI NI MUHIMU? • Hubainisha mbinu madhubuti zaidi katika utuoaji wa nyumba zenye gharama nafuu • Msingi wa marejeleo ya baadae • Hufafanua malengo ya Shirika la Nyumba la Taifa • Husaidia kusawazisha na kutofautisha utoaji wa nyumba katika maeneo muhimu • Hubainisha mitindo ya maendeleo inayowezekana na yenye gharama nafuu ktumika ili kuokoa gharama za nyumba za kuishi • Ni fursa ya kukuza ushirikiano na watoa misaada wakubwa wa kimataifa ili kuinua viwango na mbinu za ndani 56 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 07 MISAADA YA KUBORESHA KAYA MISAADA YA KUBORESHA NYUMBA NI NINI? • Malipo ya Shirika la Nyumba la Taifa/Manispaa kuwawezesha wamiliki katika makazi yasiyopimwa kuzifanya nyumba zao kuwa bora zaidi • Fedha za misaada hulipia vifaa vya ndani, hukusanywa na nguvu kazi ya ndani kama jitihada ya kutengeneza ajira • Maboreshwa kufuata bila kukosa kanuni za nyumba zilizokubaliwa • Misaada hulipia vifaa, kazi za utoaji wa huduma, na ukaguzi wa kanuni • Misaada mikubwa ipo pale ambapo nyumba zimepanuliwa na kubeba familia nyingine • Mifano: misingi ya majengo; kuta za mipaka; sakafu mpya ya juu; paa lililoboreshwa; usafi; nyanya za umeme au mabomba ya maji UBORESHAJI WA NYUMBA UNAPASWA KUFANYIKA WAPI? • Makazi ya mmoja mmoja au ya wengi katika eneo lisilopimwa au makazi mengine ya kiwango cha chini zinaweza kubeshwa • Hati ya ardhi ni lazima ithibitishwe, au hatua zinazokubalika zichukuliwe kurasmisha umiliki wa ardhi • Wamiliki kukamilisha kazi kwa kiwango ndani ya mwaka mmoja au warudishe gharama UBORESHAJI WA NYUMBA UNAPASWA KUFANYIKAJE? • Nyumba zinaostahili ziizolengwa na Manispaa kwa ajili ya kuboreshwa • Wamiliki kuomba • Misaada inayotolewa kama vocha kwa ajili ya vifaa kutoka kwa watoa misaada mikubwa walioidhinishwa au watoa huduma NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • SHirika la Nyumba la Taifa/ Manispaa NANI ANAWEZA KUOMBA FEDHA ZA MSAADA? • Wamiliki wa maeneo, wamiliki wa nyumba, mashirika ya umma na binafsi yenye nyumba za kiwango cha chini KWANINI FEDHA ZA MISAADA NI MUHIMU? • Ni njia rahisi na isiyo ya gharama ya kuboresha mazingira katika maeneo yasiyopimwa yanayomudu msongamano wa watu • Kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya mnyororo wa usambazaji wa ndani na juzi • Kukuza uchumi wa ndani kupitia shughuli za ajira za ujenzi na umaarufu wa eneo Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 57 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 08 PROGRAMU ZA MAKUMBUSHO KIHISTORIA PROGRAMU ZA MAKUNBUSHO YA KIHISTORIA NI NINI? • Kuyahifadhi, kuyakuza na kuyapa matumizi mapya majengo yenye muundo na mwonekano wa kihistoria • Majengo ya kale, ya kabla ya vita na ya kisasa kuanzia kale hadi mwaka 1975 • Hujumusiaha nyumba na majengo ya kibiashara, viwanda na utamaduni wa jamii • Maeneo ya kihistoria, alama na picha za barabarani, maeneo, mwonekano wa asili, madaraja na majengo mbalimbali • Programu za mipango mkakati kubainisha, kubakiza, kuhifadhi na kutumia tena • Misaada ya fedha kwa ajili kutumiwa na wamiliki binafsi WAPI PROGRAMU ZA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA ZINAPASWA KULENGA? • Ndani eneo la mjini kati na maeneo ya kale ya jiji yaliyoimarishwa • Lenga kwenye matumizi na matokeo yanayohusiana na utalii • Kukuza udhibiti wa sera ili kuhakikisha ulinzi PROGRAMU ZA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA ITAENDELEZWAJE? • Kuendeleza kazi ambayo tayari imeshafanywa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Wakala wa mabasi yaendayo kwa haraka jijini Dar es Salaam • Kuorodhesha majengona sifa muhimu katika eneo la barabara za mwendo kasi na kuthibitisha umiliki husika • Kutathimini matumizi/hali/upekee na kubainisha kituo chochote na majengo yaliyo katika hatari • Kuzingatia uhamishaji unaowezekana/matumizi mapya/ mikakati ya kifedha kwa ajili ya kuhifadhi • Anzisha mfumo wa misaada kwa ajili matumizi binafsi • Kutekeleza na kusimamia uanzishaji NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • Fedha kutoka OR-TAMISEMI, Halmashauri na Manispaa za Jiji la Dar • Shirika la Nyumba la Taifa na Idara za Serikali • Wamiliki binafsi kuwa wadau wa makumbusho ya kihistoria wakiwa na hisa katika mali za jiji LINI PROGRAMU YA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA ITAANZA? • Kuanzia mwaka 2019 • Miaka 1-2 ya kuchunguza / kutathmini na kuthibitisha miradi ya kipaumbele. KWANINI PROGRAMU YA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA NI MUHIMU? • Kutunza tabia za asili na ubora wa mwonekano wa mitaa • Hukuza alama ya jiji, mvutio kwa wageni na mapato ya utalii • Huboresha uelewekaji wa maeneo ya jiji • Hukuza umaarufu eneo Soko la Kariakoo Dar es Salaam© Broadway Malyan 58 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 09 KUTENGENEZA ENEO LA KITUO UTENGENEZAJI WA ENEO LA KITUO NI NINI? LINI SHUGHULI HII INAPASWA KUANZA? • Kutengeneza na kuboresha eneo la umma • Kuanzia mwaka 2018 • Kuratibisha vifaa vya usafiri • Mwaka wa 1-2 ni kupanga na mwaka 2-4 ni kutekeleza awamu ya kwanza ya miradi. • Kutoa leseni rasmi kwa shughuli za mitaani/biashara • Baadae, kutekelezwa katika vituo kwa misingi ya • Barabara mpya na zilizoboreshwa, taa, kuweka njia za kituo kulingana na fedha zilizopo waenda kwa miguu za pembeni zenye vitofali, sehemu sala za kuvukia barabara, vituo vilivyojengwa vya teksi na kushukia, taarifa za alama na ramani, wi-fi ya bure, KWANINI UTENGENEZAJI WA ENEO LA KITUO NI sehemu za mbele ya barabara zilizobuniwa vizuri na MUHIMU? michoro • Nafasi rahisi ya mzunguko ili kukifanya kituo kuwa • Kutangaza maombi na viwango bora zaidi pande zote • Mwingiliano wa jamii, shughuli na matukio • Kuongeza uwezo kwa ajili ya watembea kwa miguu, teksi, huduma za magari • Kuboresha njia na kituo cha kugeuzia kwa ajili ya WAPI UTENGENEZAJI WA MAENEO UTAFANYIKA? teksi/ mabasi na njia zinazokutana • Pendekeza kituo muhimu - vituo vya mjini kati, • Njia mpya za mapato kutokana na matangazo, Gerezani, Morocco, Magomeni, Ubungo, Kimara upangishaji na utumiaji mzuri wa ardhi • Baada ya hili uchaguzi wa eneo la kituo cha pili fungani • Kuongeza mvuto wa eneo utafanyika • Thamani kubwa ya ardhi na ongezeko la uhitaji • Maeneo mengine yanaweza kuchaguliwa pale ambapo uendelezaji binafsi unaweza kupunguza matumizi ya • Jamii inajisikia kuwa na fahari ya umiliki fedha za umma MABORESHO YA ENEO LA KITUO YATAFANYIKAJE? • Miradi ya awali inatarajiwa kuuonyesha mtindo unaotumika, na kufadhili na serikali • Miradi inayofuatia inayofanywa kwa michango ya mwendelezaji binafsi kwa ajili kitu kingine cha kipekee kinachohusiana NANI ANAPASWA KUONGOZA SHUGHULI HII? • UDA/WAKALA WA BARABARA TANZANIA (TANROADS) Kwa ubia na Halmashauri na Manispaa za Jiji la Dar • Juhudi zinapaswa kufanywa kwa kushirikishwa sekta binafsi, mashirika ya kijamii na jamiii Picha ya mwonekano wa eneo la kituo cha Ubungo© Broadway Malyan Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 59 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 10 MAEGESHO YA JIJI MSIMBAZI MAEGESHO YA JIJI MSIMBAZI NI NINI? • Eneo la wazi la miji itakalokuwa kitovu cha kukutanisha watu. Mpango jumuishi wa kuwezesha mto kupitishwa maji wakati wa mvua kubwa. • Mipango fungamanifu kurudisha mto katika hali yake baada ya mvua nyingi • Eneo la wazi la kipekee kuwezesha kazi za burudani na ekolojia • Mto unaoingilika na bustani ya eneo oevu ENEO LITAKUWA NA UKUBWA GANI? • Kuanzia mto Msimbazi unakoanzia katika vilima vya Pugu hadi unakoishia • Inahusu eneo hatarishi kwa mafuriko kwenye eneo la bonde MAEGESHO YATAKUWAJE? • Uwekezaji kwa ajili ya umma • Ushirikiano katika uwekezaji/uendelezaji kati ya sekta ya umma na binafsi • Msaada kutoka wadau wa maendeleo NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • Halmashauri za jiji la Dar es Salaam na wadau wengine hususan Mamlaka ya Bonde la Ruvu • OR-TAMISEMI • Mamlaka mpya ya Bonde la Msimbazi MAEGESHO YATATENGENEZWA LINI? • Uchoraji mwaka 2019 • Majengo kuendelezwa kwa zaidi ya miaka 10 ijayo KWA NINIJUHUDI ZA KUANZISWJA KWA BUSTANI YA MSIMBAZI NI MUHIMU? • Kugeuza eneo hatarishi la mafuriko kuwa bustani ya jiji • Kuzuia hatari kwa wakazi wanaoishi kwenye bonde kwa kuwahamisha kwa majadiliano na njia shirikishi • Kuwezesha uwepo wa eneo la wazi lenye uoto wa miti lenye hadhi nzuri kwenye mji unaokuwa kwa kasi. • Inawezesha uwepo wa fursa za maeneo ya kupumziakia na burudani katikati ya jiji nan a linalofikika kirahisi 60 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 11 Ubunifu wa kuvutia wa eneo uendelezaji wa eneo la Ubungo © Broadway Malyan UBUNGO - MJINI KATI PA PILI - MRADI WA MAJARIBIO MJI WA PILI NI NINI? KWANINI MJINI KATI PA PILI NI MUHIMU? • Mjini kati pa pili patapunguza msongamano katika • Huusawazisha muundo wa Dar es Salaam mjini ili kiini cha mji kilichopo sasa kuwa kituo kipya katikati ya jiji chenye umuhimu • Panatoa nafasi kwa ajili ya upanuzi wa biashara za • Kuongeza usambazaji wa ardhi ya kuendeleza iliyo gharama nafuu na maendeleo mapya makubwa na gharama nafuu ili kutoa uchaguzi zaidi na ufanisi ya mji katika kuwezesha ukuaji wa baadae • Pako katika sehemu ambayo inayojitegemea lakini • Kusawazisha ruwaza ya uendeshaji wa Mabasi ya imeunganishwa Mwendo Kasi • Hujenga uwekezaji mzuri uliopangiliwa katika Mabasi MJI WA PILI UTAPANUKA KUELEKEA WAPI? ya Mwendo Kasi/ Barabara / Huduma za jamii • Uko katika eneo la kituo cha mabasi kwenye barabara mpya za juu FAIDA MUHIMU? • Utapanuka baada ya muda fulani kuelekea kusini • Fursa mbalimbali za biashara • Likunganishwa na Awamu 4 & 5 ya Mabasi ya • Kuongeza ushindani wa maeneo ya nje na mjini kati Mwendo Kasi, kuliingiza eneo la Chuo Kikuu • Ufanisi mzuri wa usafiri MJI WA PILI UTAKUWAJE? • Faida kubwa za LVC ikiwamo ajira, miundombinu, nyumba, huduma za kijamii. • Fursa za eneo la zinazotangazwa kimataifa Ubungo Site Sketch layout for Mixed-Use District Quarter E • Uendelezaji kwa kushirikisha wadau kwa njia ya For Discussion only 16th March 2018 kuwa na akiba ya ardhi itokanayo na ununuzi wa F ardhi. 21 16 NANI AONGOZE JUHUDI HIZI? 20 20 15 D • Halmashauri ya Jiji la Dar/Manispaa ya Ubungo 11 18 17 19 • Nyumba kupitia Shirika la Nyumba la Taifa H 14 15 • Eneo la kwanza linaongozwa na Halmashauri ya G D jiji la Dar na UDA G Adjacent 12 neighbourhoods 22 13 Create pedestrian 11 NI LINI MJI WA PILI UTAANZA? links where possible 23 09 Optimise & densify • Mwanzo wa soko la reja reja katika eneo la kituo adjacent layout Create landmark on the 10 08 04 corner to create focal point cha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (mijadala 07 05 adjacent to ring road. I C Create frontage onto BRT 06 inaendelea) Phase 1 route A 22 B 03 Protect BRT’s • Muendelezo zaidi mwaka 2019/2020 ROW 01 02 • Miaka 15+ uendelezaji mkubwa wa matumizi mchanganyiko makubwa 01 BRT Phase 1 Station (existing) Ramani dhahania ya Mradi wa Majaribio wa Ubungo Pedestrian Bridge over Morogoro Road 02 Viewing Plaza over Ubungo District Quarter 03 14 BRT Phase 3 & 4 Interchange A Vehicular access from/to 04 Pedestrian bridge integrated into Feeder Bus Station & Retail offer Morogoro Road (left turn only) 15 Ubungo Arcades - Retail Strip 05 Feeder Bus Station B Feeder Buses access to/from 16 Multi-storey car park (Park & Ride) Morogoro Road 06 Food & Beverage Pavilion C Access to/from Feeder Bus 07 Steps to the Ubungo Plaza 17 Indoor Market or Food Court (optional) Station (Buses only) 08 Primary entry to Eastern Africa Commercial Centre 18 Covered Street (service industry) D Access to/from BRT Phase 3&4 Interchange 09 Ubungo Circus - plaza animated through retail 19 Mixed-use block (Residential & Retail) E Access to/from BRT Phase 3&4 10 Commercial over retail 20 Surface Parking (Visitors & disable) F Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari 61 SHUGHULI ILIYOPENDEKEZWA 12 Ubunifu wa kuvutia wa eneo uendelezaji wa eneo la Gerezani – mradi wa majaribio © Broadway Malyan GEREZANI - ENEO LA KIBIASHARA - MRADI WA MAJARIBIO KITUO CHA KIBIASHARA GEREZANI NI NINI? UMUHIMU WA KITUO CHA GEREZANI? • Kituo cha usafiri chenye mwingiliano wa hali ya • Kituo kibubwa cha ajira juu (Mabasi ya Mwendo Kasi/ Reli)) • Kipimo cha radi wa uendelezaji wa mji • Kinajumuisha msongamani changamani mkubwa • Inawezesha haki ya uendelezaji wa vituo wa maendeleo ya kibiashara / makazi • Inaleta uelewa wa wa bandari kama kituo cha • Ni kivutio cha biashara chenye uhusiano na kuaji kibiashara wa shughuli za bandari • Inaunganika na maeneo mengine ya mji. KITUO CHA KIBIASHARA GEREZANI KIKO WAPI? • Katika eneo la kituo cha Mabasi ya Mwendo Kasi FAIDA MUHIMU? • Kusaidia ukuaji wa bandari • Kuunganisha ardhi isiyotumika ipasavyo ya Barabara ya Pugu • Kukuza mtaji kwa ajili ya Awamu zinazofuata za Mabasi ya Mwendo Kasi • Eneo la reli kati ya Gerezani na Mjini Kati • Faida kwa UDA KITUO KITAJENGWAJE? • Kuweka viwango vizuri vya ubadilishaji wa usafiri • Kiunzi cha Ramani ya ndani • Faidia kubwa ya LVC hujumuisha ajira, • Upataji wa ardhi na ununuzi miundombinu, nyumba, huduma za kijamii • Ukusanyaji wa sehemu ya ardhi • Usafiri wa kiwango cha juu • Huduma nyingi zilziounganishwa katika mtandao NANI ATAONGOZA SHUGHULI HII? • UDA • Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam • Manispaa ya Ilala LINI KITUO CHA GEREZANI KITAENDEKEZWA? • Kitaanzia eneo la kituo cha mabsi yaendayo kwa haraka Gerezani • Mpango kiunzi cha kisheria 2018 • Mpango wa Uendelezaji 2019 • Uendelezaji 2020 na kuendelea Ramani dhahania ya Mradi wa Majaribio wa Gerezani 62 Mkakati wa Uendelezaji wa Ukanda wa Mabasi yaendayo kwa haraka awamu 1 | Muhtasari Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) MRADI WA MAENDELEO WA METROPOLITAN DAR ES SALAAM NOVEMBA 2018